Maranyingi kinachoangaliwa ni chassis serial number ndio maana kabla ya gari kusajiliwa kinachoitambulisha ni chassis number... Lakini kujiridhisha zaidi nenda TRA investigation department kwa ufafanuzi zaidipHuu uzi ni mrefu sana inawezekana ninalotaka kuuliza limezungumuzwa kwenye uzi huu mniwie radhi ninataka kununua injini kwa ajili ya kagari kangu kutoka kwa wauzaji wa injini zilizotumika jee ni utaratibu gani unaotumika kubadili kadi ya gari na nitajuaje kama injini hiyo haitokani na gari la wizi au gari lisilolipiwa ushuru wakati likiingizwa nchini
Asante kwa maelezo yako mazuriMaranyingi kinachoangaliwa ni chassis serial number ndio maana kabla ya gari kusajiliwa kinachoitambulisha ni chassis number... Lakini kujiridhisha zaidi nenda TRA investigation department kwa ufafanuzi zaidip
Kwamtogole Magomeni Ilala Buguruni jaribu kote hukoNaomba msaada mwenye kujua wap naweza kupata bearing hub ya tairi ya nyuma toyota ist ya 2008View attachment 503829View attachment 503830
Naomba msaada mwenye kujua wap naweza kupata bearing hub ya tairi ya nyuma toyota ist ya 2008View attachment 503829View attachment 503830
Regular service ni muhimu ni hilo tu basi.Wakubwa nimejichanga nimekamata Toyota issis,ninzurisana ndani napia safari ndefu iko pouwa,naomba kujuzwa,changamotozake nizipi?
Bila shaka hiyo itakua OEM eeh?Nenda Duka la kisangani pale msimbazi
Mimi nilinunua pale ya IST ya mwaka 2005
Ilikuwa mwaka juzi 2015 kwa tshs 480,000/=
Jaribu mkuu
Low ground clearnance (iko chini) kama haujainyanyua, especially ukibeba full capacity.Wakubwa nimejichanga nimekamata Toyota issis,ninzurisana ndani napia safari ndefu iko pouwa,naomba kujuzwa,changamotozake nizipi?
Maduka ya Ilala zipo japo sijui kama upo darWakuu nahitaji power window (kile kifaa kinacho fanya kazi ya kupandisha vioo vya milango, kilichopo kwenye mlango wa dereva). Gari ni noah old model. Kilichopo kimeungua.
Cc.. Mshana jr na wataalamu wengine.
Nipo mkoa tofauti na dar. Ok, nadhani nahitaji kumtafuta mtu wa kuniagizia.Maduka ya Ilala zipo japo sijui kama upo dar
Duu pole sana...alternatively mwite fungi gas akate hizo nuts uweke za kawaidaHabari wana jamii,Nina gari Honda crv,sasa tairi pancha, nafungua nuts ,nakuta katika kila tairi nuts moja ni master locker na master Locke yake imepotea,kama kuna mtu anayo naomba aniazime,au anipe njia mbadala,maana nashindwa kulitoa tairi,my number no 0717246284.Asanten
Hiyo inamaanisha engine imebata ubaridi, ukiendesha baada ua muda engine itapara joto na itazima, (Normal Temperature)
Wakubwa hiyo taa ikiwaka shida ni nini? Ni kwenye Ist
Mkuu ukitembelea baadhi ya page za huu uzi watu wamefanya uchambuzi wa hizo taa na maana zake. Ila kulingana na rangi, blue na kijani hazina shida zikiwaka, orange sijui ile kama ya ABS na Tyre pressure maana yake kuna malfunction sehemu ila still unaezaendesha. Nyekundu ndio don't even move kama vile ya oil na check engine, mkanda etc.
Wakubwa hiyo taa ikiwaka shida ni nini? Ni kwenye Ist