Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Huu uzi ni mrefu sana inawezekana ninalotaka kuuliza limezungumuzwa kwenye uzi huu mniwie radhi ninataka kununua injini kwa ajili ya kagari kangu kutoka kwa wauzaji wa injini zilizotumika jee ni utaratibu gani unaotumika kubadili kadi ya gari na nitajuaje kama injini hiyo haitokani na gari la wizi au gari lisilolipiwa ushuru wakati likiingizwa nchini
Maranyingi kinachoangaliwa ni chassis serial number ndio maana kabla ya gari kusajiliwa kinachoitambulisha ni chassis number... Lakini kujiridhisha zaidi nenda TRA investigation department kwa ufafanuzi zaidip
 
Maranyingi kinachoangaliwa ni chassis serial number ndio maana kabla ya gari kusajiliwa kinachoitambulisha ni chassis number... Lakini kujiridhisha zaidi nenda TRA investigation department kwa ufafanuzi zaidip
Asante kwa maelezo yako mazuri
 
Naomba msaada mwenye kujua wap naweza kupata bearing hub ya tairi ya nyuma toyota ist ya 2008
IMG_20170426_173909.jpg
IMG_20170426_173853.jpg
 
Wakubwa nimejichanga nimekamata Toyota issis,ninzurisana ndani napia safari ndefu iko pouwa,naomba kujuzwa,changamotozake nizipi?
 
Wakubwa nimejichanga nimekamata Toyota issis,ninzurisana ndani napia safari ndefu iko pouwa,naomba kujuzwa,changamotozake nizipi?
Low ground clearnance (iko chini) kama haujainyanyua, especially ukibeba full capacity.
 
Wakuu nahitaji power window (kile kifaa kinacho fanya kazi ya kupandisha vioo vya milango, kilichopo kwenye mlango wa dereva). Gari ni noah old model. Kilichopo kimeungua.

Cc.. Mshana jr na wataalamu wengine.
 
Wakuu nahitaji power window (kile kifaa kinacho fanya kazi ya kupandisha vioo vya milango, kilichopo kwenye mlango wa dereva). Gari ni noah old model. Kilichopo kimeungua.

Cc.. Mshana jr na wataalamu wengine.
Maduka ya Ilala zipo japo sijui kama upo dar
 
Habari wana jamii,Nina gari Honda crv,sasa tairi pancha, nafungua nuts ,nakuta katika kila tairi nuts moja ni master locker na master Locke yake imepotea,kama kuna mtu anayo naomba aniazime,au anipe njia mbadala,maana nashindwa kulitoa tairi,my number no 0717246284.Asanten
 
Habari wana jamii,Nina gari Honda crv,sasa tairi pancha, nafungua nuts ,nakuta katika kila tairi nuts moja ni master locker na master Locke yake imepotea,kama kuna mtu anayo naomba aniazime,au anipe njia mbadala,maana nashindwa kulitoa tairi,my number no 0717246284.Asanten
Duu pole sana...alternatively mwite fungi gas akate hizo nuts uweke za kawaida
 
7dad9d8b3c003632d767ac2d7c488e71.jpg


Wakubwa hiyo taa ikiwaka shida ni nini? Ni kwenye Ist
Mkuu ukitembelea baadhi ya page za huu uzi watu wamefanya uchambuzi wa hizo taa na maana zake. Ila kulingana na rangi, blue na kijani hazina shida zikiwaka, orange sijui ile kama ya ABS na Tyre pressure maana yake kuna malfunction sehemu ila still unaezaendesha. Nyekundu ndio don't even move kama vile ya oil na check engine, mkanda etc.
Ndio maana ukiwasha gari linajifanyia self diagnosis kwa sekunde chache ambapo taa zote zinawaka na kama gari lipo vizuri zitazima ila kama kuna shida zipo ambazo zitaendelea kuwaka.
 
Back
Top Bottom