Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada plse wa hizi gari Nissan X-Trail na Ford Escape. Ipi kati ya hizi mojawapo ni nzuri mahsusi kwenye fuel consumption, spare parts na upatikanaji wa mafundi kwa services. Natanguliza shukrani wana-jf.
Hakuna ubaya lakini unachosave si chochote zaidi ya kuleta risk kwenye gearleaver
Mimi nina gari aina ya carina Si, baadhi ya watu wamekuwa wakinichanganya kwamba O/D ikiwa imedisplay O/D OFF ndo iko ON na ikiwa haijadisplay ndo iko off hapa ndo wananichanganya kabisa, naomba msaada mkuu
Mimi nina gari aina ya carina Si, baadhi ya watu wamekuwa wakinichanganya kwamba O/D ikiwa imedisplay O/D OFF ndo iko ON na ikiwa haijadisplay ndo iko off hapa ndo wananichanganya kabisa, naomba msaada mkuu
Achana na magari wewe lete hela tupige monde maeneo yetu. Au unataka kuuza Prado ile
Naomba kufahamu tofauti iliyopo kati ya LandCruiser TX na VX, ipi nzuri kwa kuendesha hasa kama mimi ni mwanamke....
Pia ningefahamu bei, maana budget yangu ni 70Mil.
Mkuu Mshana, embu nisaidie kitu kimoja. Nini dalili za kuchoka kwa ABS kwenye gx 110?
Wakuu mimi swala langu ni kuhusu rotary engines. Hasa kwenye gari aina ya mazda rx8 inatumia mfumo huu wa engine.. Ni engine isiyotumia pistons ila inatumia rotors.
Kwa mwenye uzoefu wa aina hii ya engines, spare zake upatikanaji wake ukoje, matatizo ya engines hizi ni yapi
Samahani kama swali liliwahi kuulizwa. ila nuliza kama ukibadili engine ya freelander na kuweka ya rav 4 (3s) gari itapiga mzigo vizuri?
Naamini ulimaanisha routers! Duka moja la spare za Mazda la siku nyingi sana liko opposite na Tabata dampo along Mandela road hapo utapata ushauri spare na mafundi
Hapana mkuu ni rotors...hizi engines huwa hazitumii pistons.. Huwa zinatumia rotors za pembe tatu...engines hizi huitwa rotary engines au wenkel engines.
Kwa anaejua shida zake pamoja na uimara wake na upatikanaji wa spare tafadhali atujuze.
Nashukuru kwa ufafanuzi lakini umejaribu kucheki hapo tabata dampo!?
Hapana. Bado sijaiagiza hii gari. Ila nimeiangalia kwenye mtandao nimetokea kuipenda. Ila kabla sijafanya uwamuzi nadhani itakuwa vyema kujua wadau wanazizungumziaje aina hii ya engines.