kicheko.com
Member
- Mar 10, 2015
- 17
- 7
Ni kweli kabisa,huu uzi uko makini sana asanteni sana wataalamu kwa kutuelimisha.binafsi napata uelewa mkubwa sana kupitia hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuu. Kuna rafiki angu aliniambiaga kuwa mazuri ni unleaded,na ndio most yanayojazwa ktk vituo vya puma. Nitaanza kuzingatia aina za mafuta na petrol station za kujaza mafuta,na sio kujaza mafuta ovyo ovyo ktk petrol station.
Yeah utaratibu mzuri uwe na vituo unavyoviamini kwa hapa Tz puma na total mi nawa-rate nafuu hawa wengine wasiwasi wengine wanasema victoria pia sio wachakachuaji
Nafikiri tayari iko sticky! Binafsi ufahamu wangu kuhusu magari umeongezeka maradufu, nafuatilia kila post kwa makini mno na kwakweli wachangiaji wengi wamekuwa serious kwenye kutaka kufahamu hili au lile na vilevile wale wenye ufahamu nao wamekuwa na weledi na upendo mkuu kushare kile wengine wasichokijua
Mkuu naomba ushauri kuhusu pajero GDI io kuna MTU anataka aniuzie coz anashida so nataka kujua ubora na udhaifu wake...
Nashukur sana kaka kwa ushauri pia ni kampuni gani nzuri kuagizia
Kama ni muagizaji mpya nakushauri uwaone Be forward wanakushughulikia kila kitu kuanzia Japan hadi gari linakufikia pia wana clearing agency hapa Tanzania pale jirani na ocean roads hsptl na unaweza ukaagizia gari lako pale ofisini kwao BFT na kupata technical advice zaidi kutoka kwao they're professional na wako serious kwenye business, pia bei zao ni nzuri na wana magari mengi kuchagua
Kama ni muagizaji mpya nakushauri uwaone Be forward wanakushughulikia kila kitu kuanzia Japan hadi gari linakufikia pia wana clearing agency hapa Tanzania pale jirani na ocean roads hsptl na unaweza ukaagizia gari lako pale ofisini kwao BFT na kupata technical advice zaidi kutoka kwao they're professional na wako serious kwenye business, pia bei zao ni nzuri na wana magari mengi kuchagua
Kinachonikera hawa jamaa ni kubandika sticker zao kwenye magari wanayouza, nafikiri si kila mtu anapenda kuwa na vitu kama hivyo kwenye gari
Kama watapita huku naamini ujumbe huu utawafikia, ni vema kumuuliza mteja kama anapenda au la
Kinachonikera hawa jamaa ni kubandika sticker zao kwenye magari wanayouza, nafikiri si kila mtu anapenda kuwa na vitu kama hivyo kwenye gari
Kama watapita huku naamini ujumbe huu utawafikia, ni vema kumuuliza mteja kama anapenda au la
Hata mi sipendi mastika...niliagiza gari.ilipofika pale ofisini kwao nikatoa stika zote
.walipouliza.nikawaambia ile si ubao wa matangazo pia sina makubaliano kuwatangazia.over
Wakuu nahitaji Noah ambayo ni manual gear..naweza kuipata?
Hongera mshana jr...naona mada imekuwa sticky...
Wakuu, kuna subaru forester 2004 inasumbua kwenye giabox...tatizo gia kuingia inakuwa shida...ukiweka D inapiga resi tu...na ikiondoka ni kwa shida..
msaada tafadhali!
Hapa ngoja N'yadikwa aje