Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbogyo taa za dashboard huzima mara baada ya kuwasha gari , taa itakayobaki inawaka ni tahadhari ya kukuambia kuna tatizo kwahiyo ABS yako iko vizuriAhsante mkuu mshana mungu akubariki
Swali langu la nyongeza mimi gari yangu ni Toyota Duet kila nikiiwasha lazima ioneshe taa zote pale kwenye dashboard ikiwemo na hiyo ya ABS lkn huwaka kwa muda tu pindi ninapoondoka au kuwa silence haiwaki je hilo ni tatizo la break system?
Lkn pia gari yangu ina tatizo la kuvuta upande wa kushoto yani ukiwa unaendesha halafu ukaachia usukani utaona gari inaelekea upande wa kushoto
Kwa town trip very economical .. Nunua haraka..
Waone hawa.... nimekopi hii thread kutoka jukwaa kazi;
Yesterday
sisi ni vijana watatu kutoka toyota tz
,tunatengeneza
engine aina zote hasa za V8.Yeyote mwenye
kuhitaj huduma yetu tuwasiliane no.0766981308
tunakufuata ulipo DAR
habari wadau,nahitaji fundi anayeweza kubadilisha mfumo wa freelander 2 manual 4wd nakuniwekea wa rav4 3s manual 4wd
Naona tumejikita zaidi kwenye mambo mengine na kusahau hili la rangi za magari na utunzaji wake
Kwanza kwenye gari kuna rangi za aina mbili metallic paints na non metallic paints
Utunzaji wa metallic paints(rangi za mng'ao) ni mgumu/ghali zaidi kuliko ambazo sio metallic, na ndio maana metallic paints kwa asilimia 95 utazipata kwenye magari madogo na ya starehe au matumizi binafsi huku yale ya non-metallic yakiwa ya biashara
Ni jambo la kawaida ni ada kuliweka gari lako katika hali ya usafi na kung'aa muda wote lakini bahati mbaya sana kwa kutofahamu usafi huo kama hauzingatii kanuni basi rangi huchoka haraka sana
Kumbuka Hays unapoosha gari yako
-hakikisha maji yanayotumika si ya kisima kifupi wala mitaroni, mengi yana chumvi na chemikali nyinginezo ambazo ni sumu kubwa kwa bati na rangi ya gari
-hakikisha unakuwa na sabuni maalum ya kuoshea magari(car shampoo) epuka kutumia sabuni za unga ambazo kemikali zake ni kwa ajili ya nguo, vyombo nk
-epuka kutumia material yoyote ngumu kukaushia gari mara baada ya kuosha hasa rangi za metallic ambazo hupata michubuko haraka
-epuka kuishindisha gari juani kila siku
-kama gari si chafu kivile osha kwa kuifuta na kitambaa laini na maji tupu
-Fanya car waxing walau mara moja au mbili kwa mwezi
-Fanya fullbody washing walau mara 2 kwa mwezi
Ukizingatia hayo rangi yako itadumu na kubaki na mng'ao wake wa asili
Hivi vina tofauti na Toyota Cami?
Terious KID na Terious ina tofautti?
spea zake available?
Halafu tujue wewe he au she.
Naomba msininukuu vibaya jama hivi vigari naona vimekaa kike sana unless uwe mwanafunzi wa chuo.
Habari wana Jf, naomba ushauri kwa watalaamu wa magari, nataka kununua Daihatsu Terios vipi kuhusu ubora wake na kwa matumizi ya TZ.
Nashukuru kwa maswali na majibu ambayo yamenifungua upeo wangu wa kuelewa magari,nina swali kwa wadau,nimesafiri na gari yangu Noah kwenda mkoa tatizo ni pale nikiwa kwenye speed zaidi ya 80 kila nikigusa break gari inatingishika mno,je nini tatizo???