Jamani natafuta corolla 110 iwe katika hali nzuri isiwe rangi nyeupe bajeti ml 3 mwenye nayo ani pm au 0754 065573
punda wa kazi huyo mkuu.Kila la kheri.Akikusumbua kupata huyo ongezea choice kwa kaka yake anaitwa "mtakatifu corolla sprinter se vintage limited" au ukihangaika sana kuna mwenzie "very cute" wa miaka ya 99/2000 anaitwa se vintage riviere.Injini ni zile zile kama 110 za 4e au 5a-fe.Unakuta kamechoka hadi kanatoa moshi nyuma na bado kanakunywa lita 1 kwa km 12,13!corolla ni bahili sana.Huyo E 100 ndio tobaa,gari inapoteza sifa zote za kuitwa gari na bado inatembea!Sprinter itakufa kila kitu hata juu ya mawe utaiweka lakini utakuta kiyoyozi bado kinagandisha!Yaani kama ni kabila,basi huu ukoo wa corolla una asili ya wapare!samahani sana braza Mshana sijakusudia kukukwaza.