mkuu unaposema mafuta Super unamaanisha nini? fafanua hapoNi kweli mkuu, D4 ni super engine, ila ukiweka mafuta 'super' unaua engine...mm hata kwa gari yangu VVT-i huwa siweki mafuta Super maana siyaamini nayaona km ubora wake uko chini sana#
Ila cku hizi naona kuna gari ni D4-VVT-i, hizi unaweza kuweka Mafuta yyt yake..mfano Toyota wish nyingi ni hizo!