Fika kilingeni ASAP kuna watu hawapendi uchangiaji wako wa kodi, wanasema eti unatafuta sifaJamani hizi pombe zinanikataa sijui nimelogwa!?
Yani nikinywa nahisi kuumwa nisipokunywa ndio kabisa maisha yanakuwa magumu.
Nikiona mizinga nahisi kichefu chefu. Mshana ebu check file langu kama limechezewa au liko sawa. [emoji2]
Itabidi iwe hivyo. Ngoja kwanza naelekea Mafia nikirudi Kibaha nikutafute.Fika kilingeni ASAP kuna watu hawapendi uchangiaji wako wa kodi, wanasema eti unatafuta sifa
Nyamisati bana sina ufahari wa kupoteza 135,000/- ndani ya nusu saaa. Najifunza ubaharia kidogo.Unapitia Nyamisati!? Au unapaa? Kama unafikia IBIZA lodge unisalimie yule mhudumu wa gesti [emoji85][emoji86]
Kuolewa mkuu (kazini)Unahitaji kuolewa ama kulewa!!?
Habari za asubuhi katibu, msalimie mwenyekiti piaDuh za asubuhi mwnyekiti
Ova
Kweli mwisho wa SIMU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hongera sana mlipa kodi.. Heshima UK kubwa kwako na chama zima la wana
Kmekucha[emoji23]Habari za asubuhi katibu, msalimie mwenyekiti pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 876103
Mkuu..inaonekana wife ni terror sana kwako..?
Noma sana. Hii ni ile ya one for the roadHii pombe naiheshim sana. Nlikunywa mbili nkalewa kama nmekunywa safari kumi daadeq
Nachekaga tu[emoji23]Unapitia Nyamisati!? Au unapaa? Kama unafikia IBIZA lodge unisalimie yule mhudumu wa gesti [emoji85][emoji86]