Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Jamani hizi pombe zinanikataa sijui nimelogwa!?

Yani nikinywa nahisi kuumwa nisipokunywa ndio kabisa maisha yanakuwa magumu.

Nikiona mizinga nahisi kichefu chefu. Mshana ebu check file langu kama limechezewa au liko sawa. [emoji2]
Fika kilingeni ASAP kuna watu hawapendi uchangiaji wako wa kodi, wanasema eti unatafuta sifa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20180923-105657.jpg
 
Back
Top Bottom