Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Enzi hzo tukionekana mikochen jamaa kle wanajua ttumeleta mipango ya kupiga hela
Sisi tulikuwa na michongo funds hakna ndomana tukawa tutakuja mitaa yenu kuongea na jamaa tujue namna ya kfanya [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Bana wee ,wenyewe wanakomaga ,nawatia ofa halafu nasikiliza story zao ,Mkuu nikikuambia wazee ninaokaaga nao utashangaa ni vigogo haswa ,lkn kwa ubishi nawazungushia ,uzuri wakiwa na dili wanakurushia ufidie fidie machungu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mm nlikuwa nakaaga na smbdy ambaye sahv ndy don mkuu bar yao ilikuwa obay banda mayai pale [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bia yake serengeti

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…