Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Safari ni mja ya bia bora kabisa duniani.
Nimerudi kwa mangi dukani ahhh[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
20180928_192518.jpg
 
Bana wee ,wenyewe wanakomaga ,nawatia ofa halafu nasikiliza story zao ,Mkuu nikikuambia wazee ninaokaaga nao utashangaa ni vigogo haswa ,lkn kwa ubishi nawazungushia ,uzuri wakiwa na dili wanakurushia ufidie fidie machungu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mm nlikuwa nakaaga na smbdy ambaye sahv ndy don mkuu bar yao ilikuwa obay banda mayai pale [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bia yake serengeti

Ova
 
Back
Top Bottom