mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Bwana eh hapo nlikuwa nastua opp na kituo cha wazeee leo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu mrangi,umenikumbusha enzi hizoo,chupa naiweka kwenye mfuko wa karatasi A4.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana eh hapo nlikuwa nastua opp na kituo cha wazeee leo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu mrangi,umenikumbusha enzi hizoo,chupa naiweka kwenye mfuko wa karatasi A4.
Safari ni mja ya bia bora kabisa duniani.Hii kitu Tamu Dah alafu since 1977
Bia hii inajiuza yenyewe tangu nianze pombe sijawahi kunywa bia zaidi ya safari
Na pombe kali ni nyagi tu
Ova
View attachment 880438
Nimerudi kwa mangi dukani ahhh[emoji23] [emoji23] [emoji23]Safari ni mja ya bia bora kabisa duniani.
Mkony yupi kaka,wa hotel B....?Kule wamefariki wazee Wangu wawili na Dada Patricia ,wenyewe walikua wananiita Son,Mzee Mkony na Mzee Meda ( huyu tulishamjadili humu JF na Mshana Jr , wote ni members walikua wa Mkonyiz sasa Mebs
We utakua unamsema my Dad Mzee Meda ( km sijakosea)
Naimiss safari balaa mkuu. Mpaka Disembaaaaa...
Ladhaaa imeziidi kuwa tamu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Naimiss safari balaa mkuu. Mpaka Disembaaaaa...
Enzi hzo tukionekana mikochen jamaa kle wanajua ttumeleta mipango ya kupiga helaHahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bana wee ,wenyewe wanakomaga ,nawatia ofa halafu nasikiliza story zao ,Mkuu nikikuambia wazee ninaokaaga nao utashangaa ni vigogo haswa ,lkn kwa ubishi nawazungushia ,uzuri wakiwa na dili wanakurushia ufidie fidie machungu
Bia miaka 1000000000Kazi imeanza aisee dah safari tamu@mrangi,mshana
Bar kuna watu wanaongea mipangoHahaha
Hapana huyu ni Dr mkony mikocheni ,we unamsema mkony architecture wa hotel B ..km unaenda Giraffe anakaa K'nyama sio?Mkony yupi kaka,wa hotel B....?
Exactly,Mkony huyo ndiye ninayemzungumzia.Hapana huyu ni Dr mkony mikocheni ,we unamsema mkony architecture wa hotel B ..km unaenda Giraffe anakaa K'nyama sio?
Huyu namjua vzr tu ,hata hotelini kwake nimeenda sana,swimming pale ,ila tulikua tunamzunguamzia Dr Mkonyi mikocheni BExactly,Mkony huyo ndiye ninayemzungumzia.
Mkonyi mpk leo ananidai 5000 nligoma walipa wahudumu walinichomekeaHapana huyu ni Dr mkony mikocheni ,we unamsema mkony architecture wa hotel B ..km unaenda Giraffe anakaa K'nyama sio?
Hahaha lipa deni we Mzee ,muhudumu mmoja alifarikiMkonyi mpk leo ananidai 5000 nligoma walipa wahudumu walinichomekea
Ova