Nimeanza mdg mdg ila spidi imeongezekaMungu ni mwema kabisa... Aisee nakuona hapo
Tunashukuru kuendelea kuwasiliana maana dah jana nusu niwe mmoja wa ndugu kususia maiti yangu na sina ninaemjua humu sijui nani angeanzisha tanzia.Mungu ni mwema kabisa... Aisee nakuona hapo
AiseTunashukuru kuendelea kuwasiliana maana dah jana nusu niwe mmoja wa ndugu kususia maiti yangu na sina ninaemjua humu sijui nani angeanzisha tanzia.
Wacha katibu pombe hizi nitamu, ila ukikutana na hawa ombaomba (pls) majanga njenje.Aise
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wacha katibu pombe hizi nitamu, ila ukikutana na hawa ombaomba (pls) majanga njenje.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shida shida
Ova
Mjumbe[emoji23] ujumbe umewafikiaShida shida
Shida kwelikweli unaomba kulipiwa kodi kibabe ukizinguliwa unaleta majungu na kusingizia watu ujinga. Wito ombaomba mliopo humu wafundisheni wenzeni nidhamu sehemu za kodi.
Ova
Wanatakiwa wajue sisi ndio tunasababisha mishahara yao. Wasituchukulie kama vitegauchumi kizambe zembe.
Hii hunitokea mara nyingiWanywaji huwa tunarudigi kwa hisia [emoji23] [emoji23] [emoji23] utakuta mtu anarudi home anaendesha Gari mpaka analipaki ana lala hamjui
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Ingekua inafaa kutuma kwakutumia sim ningekutumia maana najua kiu ilivyo.
Mi bado sijaomba bili ujue.View attachment 871392
Ni hatari sana maana sisi walevi/wanywaji Mara nyingi tunarudi kwa hisia makwetuHii hunitokea mara nyingi
Mwanamke huyo mkuu. Ni muhudumu alikua anazungusha.Huu mkono wa mwanamke au mwanaume?
Na leo walipakodi wenzangu siwaoni nakua mpweke sana.Afe kipa Afe beki hyo
Ova