Sasa na mimi wa safari zausiku unanishaurije?. Maana hapa nalipuka nikalale saa 11 natakiwa nikazikusanye tena ili nisikose vikao vya kodi kesho.Ni hatari sana maana sisi walevi/wanywaji Mara nyingi tunarudi kwa hisia makwetu
Mimi wakati nakunywa siendeshi Gari kabisa
Wala sigusi maana niishapata ajali mbaya sasa na nikajifunza
Ova
Fanya hima uachike mapema ila sio kwa kulazimisha talaka.Dah bado natumika
Ila mdau unazingua, picha ya usiku na sasa ni mchana?.Napambana na Hali yanguView attachment 881232
Bro, bado nipo Kibaha labda kesho kutwa ndio naondoka. Na kweli tunatumika.. Naelekea Dar Maeneo upangaDah bado natumika
Mtafute mtu aku.drive maana mm nilipataga ajali mbaya sana sana Mpaka leoSasa na mimi wa safari zausiku unanishaurije?. Maana hapa nalipuka nikalale saa 11 natakiwa nikazikusanye tena ili nisikose vikao vya kodi kesho.
Sasa siatahitaji malipo na malazi?.Mtafute mtu aku.drive maana mm nilipataga ajali mbaya sana sana Mpaka leo
Wakati nakunywa sigusi vyombo vya moto
Ova
Karibu jukwaaniNapambana na Hali yanguView attachment 881232
Duh hpo sasa Inabidi tukae kama kmati [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa siatahitaji malipo na malazi?.
Unafikiri napenda kujichosha ni hesabu zinagoma katibu.
Fanyeni fasta ili munipe njia mbadala. Na wajumbe watag wale ambao hawajaanza kulipa kodi wasije kufikia maamuzi ambayo si sahihi.Duh hpo sasa Inabidi tukae kama kmati [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
UsijaliFanyeni fasta ili munipe njia mbadala. Na wajumbe watag wale ambao hawajaanza kulipa kodi wasije kufikia maamuzi ambayo si sahihi.
Ahahahh safari
ha ha ha mwalike na jirani[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]View attachment 881338 mambo ndio yameanza
ha ha ha mwalike na jirani
Mdg mdg N'TAY hewani, week end imeanzaView attachment 881351