Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kuna bar nyengine zipo karibu na masjid na kanisa, sasa ukiweka glass mdomoni unaanza kusikia "kulewa haramu jamani kutakupelekeni motoni" dah kuna wengine wanapeleka hivyo hivyo du! wana moyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenikumbusha wiki iliyopita nikarudi geto na valeur na konyagi nusu zote, sasa sijui nilikua namix au vp sikumbuki kabisa ila nilikatia loki,
Hatari sio kiasi [emoji115][emoji115]
 
Shida shida
Shida kwelikweli unaomba kulipiwa kodi kibabe ukizinguliwa unaleta majungu na kusingizia watu ujinga. Wito ombaomba mliopo humu wafundisheni wenzeni nidhamu sehemu za kodi.
Ova
Ombaomba noma mkuu wana shida ukiwaambia sina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wikiend hii sitaki usumbufu, hii kaunta naikausha mwenyewe leo.

N:B Wazee wa Yanga tukutane kesho zile pande zetu nyeti.
 

Attachments

  • IMG_20180929_151319_849.JPG
    182.6 KB · Views: 25
Kuna bar nyengine zipo karibu na masjid na kanisa, sasa ukiweka glass mdomoni unaanza kusikia "kulewa haramu jamani kutakupelekeni motoni" dah kuna wengine wanapeleka hivyo hivyo du! wana moyo.
Hiyo c park ( matema ya zamani) karibu na msikiti wa Mtambani Kinondoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…