Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kwa afya inabidi kutumia hizi 'lite'Pole yao wanaokunywa mapombe makali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa afya inabidi kutumia hizi 'lite'Pole yao wanaokunywa mapombe makali
Ha ha ha wanasema hivyo ili usinywe upeleke kwenye fungu la 10Kuna bar nyengine zipo karibu na masjid na kanisa, sasa ukiweka glass mdomoni unaanza kusikia "kulewa haramu jamani kutakupelekeni motoni" dah kuna wengine wanapeleka hivyo hivyo du! wana moyo.
Nimeanza mapema sana leoAsee pombe za Mchana ni hatari...madhara yashaanza...hadi usiku tutafurahia hapa..huu uzi uheshimiwe...mainjinia wa kijamii wataupenda zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenikumbusha wiki iliyopita nikarudi geto na valeur na konyagi nusu zote, sasa sijui nilikua namix au vp sikumbuki kabisa ila nilikatia loki,Wadau Song il gok Mshana Jr Nelson Mwombeki mrangi mavado Papupi chaliifrancisco wakuu hamjaamka na viporo mushtue? Nina ki valeur hapa geto. Kipya sijui nimekipataje......... ushawai kurudi na zaga na ukumbuki? . Ulipataje pataje
Mkuu unaball like a Rockstar [emoji16][emoji16][emoji16]Safari yenye lager zake ft. Shada yenye stimu zake. Tunaenda site soon.lazma muhindi atoe hela leo tulewe. Iyo inaitwa morning starter pack.
Hatari sio kiasi [emoji115][emoji115][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenikumbusha wiki iliyopita nikarudi geto na valeur na konyagi nusu zote, sasa sijui nilikua namix au vp sikumbuki kabisa ila nilikatia loki,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walipa kodi mpo imara?
Mi ndio nawasha efd muda huu.View attachment 881096
Piga vyombo tu mkuu...unatupia na picha na kutoa code za location [emoji23]Nimeanza mapema sana leo
Ombaomba noma mkuu wana shida ukiwaambia sina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida shida
Shida kwelikweli unaomba kulipiwa kodi kibabe ukizinguliwa unaleta majungu na kusingizia watu ujinga. Wito ombaomba mliopo humu wafundisheni wenzeni nidhamu sehemu za kodi.
Ova
Valeur na embassy ni mabesti mkuu, nawajuaga hao, huwa valeur akija lazima amwite na besti yake cigarette wajumuike wote [emoji15][emoji15][emoji15]Bado mapambano yanaendelea.View attachment 881201
Ha ha ha mkuu mbona kuna vitu vya sukari sukari hapo?vyote unatumiaWikiend hii sitaki usumbufu, hii kaunta naikausha mwenyewe leo.
N:B Wazee wa Yanga tukutane kesho zile pande zetu nyeti. View attachment 881446
Asee mkuu leo nilikua na mishe kidogo sasa ndo naanza siku namna hii ndani ya The Place-Ifakara mjiniWadau Song il gok Mshana Jr Nelson Mwombeki mrangi mavado Papupi chaliifrancisco wakuu hamjaamka na viporo mushtue? Nina ki valeur hapa geto. Kipya sijui nimekipataje......... ushawai kurudi na zaga na ukumbuki? . Ulipataje pataje
Hiyo c park ( matema ya zamani) karibu na msikiti wa Mtambani KinondoniKuna bar nyengine zipo karibu na masjid na kanisa, sasa ukiweka glass mdomoni unaanza kusikia "kulewa haramu jamani kutakupelekeni motoni" dah kuna wengine wanapeleka hivyo hivyo du! wana moyo.
Asee mkuu leo nilikua na mishe kidogo sasa ndo naanza siku namna hii ndani ya The Place-Ifakara mjiniView attachment 881464View attachment 881465
Hatari Sana mkuu Kuna machimbo mazuri tu mwanzon nlidhani hakuna ila nishazoea naona poa tuhahahaha umenikumbusha hilo chimbo..nimewah likaaa nabro! asaalllaaaaale! nimepamis ifakara aisee