Captain-Sparta
Senior Member
- Sep 9, 2016
- 175
- 172
Alilala wapi sasaWakuu hzi pombe jana nimekuta dem wangu kaenda kweny harus na mimi nko maji nkaingia mjengon nkasahau kuna mtu nnje..aisee c nkafunga mlango hapa kaja ananletea noma namna alivopambana usiku kupata sehem ya kulala mi wala sina habar[emoji41] [emoji23]
Ananiambia ilibd amfuate mwenzio waliokuwa nae kweny harus alafu alikuwa kapika mi nlivoona menu c nkajua nimelirusha mwenyew nkapiga diko lote yan hapa kakunja adi suraAlilala wapi sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu hzi pombe jana nimekuta dem wangu kaenda kweny harus na mimi nko maji nkaingia mjengon nkasahau kuna mtu nnje..aisee c nkafunga mlango hapa kaja ananletea noma namna alivopambana usiku kupata sehem ya kulala mi wala sina habar[emoji41] [emoji23]
Nialike basi ulipo kama upo aloneWeekend vibesView attachment 889169
Mkuu hili ni jeshi la mtu mmoja.Nialike basi ulipo kama upo alone
Wengine tusipokunywa tunaona usiku mrefu Kufika morning!
Daaah ilishawahi kunitokea nikiwa kirima bar Singida.niliagiza konyagi ndogo hile kupiga funda tu nikahisi kulewa,nikalipa bill fasta nikakimbilia gesti.nilikuja kushtuka saa tisa usiku,kichwa kinauma balaa halafu hata mlango wa chumba sijaufungaWanajumuiya pendwa ya kanda maalum ya walipa kodi leo tunaaza rasmi utaratibu wa KISA CHA SIKU.. Leo ni siku ya visa vya kuwekewa madawa kwenye pombe... Kama unacho karibu
Changu hiki hapa
MK GRAND MWAKA 2004
Ikiwa ni bar ya viwango vyake kipindi hicho nilikuwa mteja mzuri pale mimi na jamaa yangu
Ilikuwa kila tukitoka kazini lazima tupite pale tule munde na mbuzi choma... Mimi nikiwa mpenzi wa konyagi na jamaa safari
Mazoea ya kwenda pale yakatukutanisha na binti mmoja mhudumu ambaye akawa kama vile ni mhudumu wetu maalum tukienda pale... Hakuna siku ambayo thatukwenda pale asinywe asile au asiondoke na keep chenchi. Mpaka ikawa tukifika pale wenzake wanamwambia wateja wako wamekuja
Siku moja kufika pale jamaa yangu akapata dharura ya msiba.. Hivyo akanywa bia moja na kuondoka.. Mimi nilikuwa nimeagiza kisichana na crest water
Baada ya jamaa kuondoka yule binti akaniambia leo anataka kunipa zawadi, hatukuwahi kumtongoza hivyo nikajua pengine zawadi yenyewe ni tundi.. Nikamsiliza akasema anataka kuninunulia pombe kwakuwa kila siku tunamnunulia yeye tu
Nikakataa ila akasisitiza, akasema hanunui bali jana yake alinunuliwa konyagi na mteja ikamshinda kunywa hivyo akaniwekea anipe zawadi.. Nikakubali akaniletea kasichana kalikokwisha funguliwa... Nikamalizia kangu nianze kake
Nikamimina kale kake na soda iliyokuwa Imebaki... Funda moja tu nikaanza kuhisi kulewa... Cha anabu ni kwamba siku ile baada tu ya kunihudumia hakutaka kukaa nami aliondoka
Kupiga jicho pembeni yangu nikaona kuna jamaa wane wananimonitor kiaina
Machale yakaniambia tayari nimeshapatwa... Hivyo nikapanga niondoke kwa style.,. Niende malimawatoni nikitoka huko nduki... Nikaenda chooni.. Vyoo vya MK viko kwa ndani kidogo,
Kuondoka tu jamaa mmoja kati ya wale wane akanifuata... Tuliingia chooni pamoja lakini nikamuona kabisa jamaa anafosi mkojo
Sasa unajua alama mojawapo ya kulewa ni ukikojoa lazima ushike ukuta kutafuta balance.. Nikajikuta nafanya hivyo
Yule jamaa alipoona namwangalia kiaina alitoa mkojo kidogo na kuondoka.. Nilijiapiza kuw siwezi hata siku moja kulewa kwa kibapa kidogo na nusu glass (normal rate ilikuwa kuanzia vitatu)
Nikatoka kwa shida chooni, ufunguo wa gari mkononi... Gari nilikuwa napaki mkao wa kutoka... Nilifungua mlango kwa remote nikaingai ndani nikawasha na kuondoka
Nikifika nyumbani kwa shida saana. Macho yalikuwa mazito mno, bahati nzuri nilikuwa naishi nyuma tu ya mwananyamala hospital... Nilifika home salama nikafunguliwa geti na kuingiza gari..,.
Nilistuka saa sita usiku koo likiwa limekauka sana halafu kichwa kizito huku kikiuma...
Kesho yake sikuweza kwenda kazini... Jamaa yangu nilimpa taarifa na alipotoka kazini jioni alinipitia tukaenda pale Bar... Cha ajabu yule binti hatukumkuta na hakuna aliyekuwa na taarifa zake... Tukienda siku tatu mfululizo hatukumpata...
Hii ikawa ndio mwisho wangu kukaa MK GRAND
Hebu jaribu kuongezea na mimi tuone labda itakua Chemistry safi sana nipe tu Code PM puliiiizMkuu hili ni jeshi la mtu mmoja.
Maeneo ya Bahari beach huku
Safiii....Weekend vibesView attachment 889169
Kaunta kama lootre....Wakuu habari za Jumapili, baado ya kutoka ibadani nimepitia hapa deo kupata supu kisha nimeanza hivi.View attachment 889228View attachment 889232
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakuu hzi pombe jana nimekuta dem wangu kaenda kweny harus na mimi nko maji nkaingia mjengon nkasahau kuna mtu nnje..aisee c nkafunga mlango hapa kaja ananletea noma namna alivopambana usiku kupata sehem ya kulala mi wala sina habar[emoji41] [emoji23]
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakuu hzi pombe jana nimekuta dem wangu kaenda kweny harus na mimi nko maji nkaingia mjengon nkasahau kuna mtu nnje..aisee c nkafunga mlango hapa kaja ananletea noma namna alivopambana usiku kupata sehem ya kulala mi wala sina habar[emoji41] [emoji23]
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakuu hzi pombe jana nimekuta dem wangu kaenda kweny harus na mimi nko maji nkaingia mjengon nkasahau kuna mtu nnje..aisee c nkafunga mlango hapa kaja ananletea noma namna alivopambana usiku kupata sehem ya kulala mi wala sina habar[emoji41] [emoji23]
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakuu hzi pombe jana nimekuta dem wangu kaenda kweny harus na mimi nko maji nkaingia mjengon nkasahau kuna mtu nnje..aisee c nkafunga mlango hapa kaja ananletea noma namna alivopambana usiku kupata sehem ya kulala mi wala sina habar[emoji41] [emoji23]
Karibuuu mkuu, jumapil inaanzaga hiviWakuu habari za Jumapili, baado ya kutoka ibadani nimepitia hapa deo kupata supu kisha nimeanza hivi.View attachment 889228View attachment 889232