Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Inamaana haujaanza?.
Nchi ikikosa maendeleo utamlaumu nani?.
Utaanza kusema wamenifanyia hujuma wameficha pesa na nk. Wahi sehemu husika na picha utume humu kiongozi unaweza ukapata hata teuzi.
Mie nishaanza Mkuu ,nahimiza wenzangu pia
 
Inamaana haujaanza?.
Nchi ikikosa maendeleo utamlaumu nani?.
Utaanza kusema wamenifanyia hujuma wameficha pesa na nk. Wahi sehemu husika na picha utume humu kiongozi unaweza ukapata hata teuzi.
Hapa kuna tatizo si bure mnataka ulevi asubuhi!?
 
Ungeenda kwenye Uzi ule wa wanywa soda na juice huku hawakuelewi..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…