Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kama sio majuumu nisingeacha burudani hii.
Kinachoniuma nipo mwenyewe sitaweza hata kuchangia mada muda mfupi ujao mpaka kesho nikifika salama.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Angalizo, ulabu usihusishwe na hayo mambo yenu. Wala ulabu wapo babu, bibi, shangazi na wengine. Sawa. Natoa hoja.
Wanaojiuza wanatambulika mkuu, hao uliowataja wanavaa vimini vya hatari, au kwa ujumla kuvaa nusu uchi ? nakubali hapo ni mchanganyiko wa watu
 
kiongonzi nikupa tu like yangu sio kwamba nimependa ulivyosema afya ya akili na vinginevyo hapana binafsi napenda napenda muda wote niwe high kwenye kilevi chochote ila sio coke maana bila ile naweza pasua kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…