Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukakae kitandani utakua huna maamuzi ya busara kabisa mi ndio amalizia naanza safari ya kuja kwa mjinga muda fupi ujao.Ndo naona SAA hizi. Ngoja niendelee kudebate na ubongo kama nije Goba au niendelee kukaa kitandani
Hukuona kichwa cha habari au?.Kama mimi vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jumamosi ilopita Samaki samaki mlimani siti nililewa konyaji bapa nne nikaingia kwenye gari funga milango yote na kulala. Nikamsahau shemeji yenu Movie. Saa kumi na moja naamshwa na walinzi kucheki simu missed called 10 za Mchumba. Ilibidi arudi kwao na dala dala. Sasa nipo napiga nyeto. Konyagi imefanya nimeachwa!
Dah bado mbishi nipo[emoji23][emoji23][emoji23]bado kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inafurahisha lakini poleeeUnanicheka! Wakati mimi nina huzuni
Wanaojiuza wanatambulika mkuu, hao uliowataja wanavaa vimini vya hatari, au kwa ujumla kuvaa nusu uchi ? nakubali hapo ni mchanganyiko wa watuAngalizo, ulabu usihusishwe na hayo mambo yenu. Wala ulabu wapo babu, bibi, shangazi na wengine. Sawa. Natoa hoja.
Kamili Bro !!Piga separate usipige na ku upload kwenye reply haikubali
hatareee sanaHalafu akaenda mbinguni
Hivi Kino ilivyopinda vile mnawezaje kula monde mitaa hiyo?Dah bado mbishi nipo
Nmetoka Hawaii napitia nyuma ya mwanamboka kwa mama jofu napiga 2-3 home
Ova
kiongonzi nikupa tu like yangu sio kwamba nimependa ulivyosema afya ya akili na vinginevyo hapana binafsi napenda napenda muda wote niwe high kwenye kilevi chochote ila sio coke maana bila ile naweza pasua kichwa.HUWEZI KUWA MLEVI UKAWA MWANAUME KAMILI.
UWANAUME KAMILI NI PAMOJA NA KUJIZUIA NA MAMBO YENYE KUDHURU AFYA YA AKILI,AFYA YA MOYO,AFYA YA MWILI KWA UJUMLA NA MFANO WAKE.
NAYASEMA HAYA KWA SABABU HAPA NI SEHEMU MUAFAKA. NA KUNA JAMBO NIMEKUMBUKA.
WALE NAJUA HILI MNALIKUBALI JAPO SI KWA DHAHIRIA ILA KWA MOYO AU KWA SIRI LIMETAWALA SANA.
NASEMA HIVI,KUNA JAMBO NIMEKUMBUKA.
Kwa hiyo bro nipige na ku share kwenye JF ?Piga separate usipige na ku upload kwenye reply haikubali