Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Ukiitumia vibaya. Kila kitu ukizidisha kina madhara ata chakula ukizidisha kina madhara sijui madhala R na L zina nichanganya

Karibu balimi.
Kweli kabisa
Tena bora sisi wazee wa gambeee kuliko hao wanaokunywa masoda maenegry na mo syo kbsa

Ova
 
Wenye kipaji cha kunywa endeleeni jamani, mm nikinywa zinaamia chini na sionagi hatari kuonga pesa anayohitaji mwanamke.
I'm now retired!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…