Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Ukiitumia vibaya. Kila kitu ukizidisha kina madhara ata chakula ukizidisha kina madhara sijui madhala R na L zina nichanganya

Karibu balimi.
Kweli kabisa
Tena bora sisi wazee wa gambeee kuliko hao wanaokunywa masoda maenegry na mo syo kbsa

Ova
 
Hapo usalama sana maana sisi wazee tungi tukizubaaa tunachomekewa sna bill [emoji23] [emoji23]

Ova
.
1537192719424.jpg
 
Back
Top Bottom