Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
WALEVI WOTE HAMUENDI MBINGUNI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bia za "kike"
Leo nimeanza na hii kwanza kuondoa uchovuBia za "kike"
Wewe utaenda wapi Mkuu?WALEVI WOTE HAMUENDI MBINGUNI.
MBINGUNI.Wewe utaenda wapi Mkuu?
By the way walevi ndio watu wako na uhakika na peponi, ila wengine nendeni tuu mbinguniWALEVI WOTE HAMUENDI MBINGUNI.
Na bado utasikitika sana, poleHuu uzi umenisikitisha sana
Haipendezi kwa kweli.Na bado utasikitika sana, pole
Hongera wewe unayeenda mbinguni kwa kujihukumu , subiri anayehukumu naye atakapotoa hukumuJana hiyooooooooView attachment 865448
Mkuu nimereply kwa makosa , nikajua huyo jamaa anaenda mbinguni fikra zake akasahau kuna mkuu.SamahaniBy the way walevi ndio watu wako na uhakika na peponi, ila wengine nendeni tuu mbinguni
No worriesMkuu nimereply kwa makosa , nikajua huyo jamaa anaenda mbinguni fikra zake akasahau kuna mkuu.Samahani
[emoji23][emoji23][emoji23]Juzi kati nilikuwa bwax nikashangaa niko nje ya pub mabaunsa wananipiga biti nikalale..... yan cjui hata nilifanya nini.... yan unakuwa mbishi halafu hujui hata unachobishia ni nini.... pombe bhana.
Kwa kweli wacha waruhusu tuanze kunywa tangu asubuhi maana kwakweli sisi ndiyo tunachangia pato la taifa......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Za Huku jeroView attachment 865442
Hizi mafuta kretiLeo nimeanza na hii kwanza kuondoa uchovuView attachment 865481