Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Juzi kati nilikua kijiji nakula egle zile ndogo na Chalii yangu tukalewa sasa nikawa nataka kuongeza!
Wakasema bia na mbege zimeisha nikauliza kuna nini?
Wakasema zipo banana za mbundi
Chalii yangu akadai leta hizo hizi 6 tuwekee kwenye chubuku

Ikaletwa babu!!
Inafoka kwenye jagi,kupiga nguchu mbili nilihisi machozi yanalengalenga
Tulivyomaliza tuko tusu ukiangalia TV unaona ziko 2

Nilishindwa kurudi town sikuile

Banana Kali aisee
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Juzi kati nilikua kijiji nakula egle zile ndogo na Chalii yangu tukalewa sasa nikawa nataka kuongeza!
Wakasema bia na mbege zimeisha nikauliza kuna nini?
Wakasema zipo banana za mbundi
Chalii yangu akadai leta hizo hizi 6 tuwekee kwenye chubuku

Ikaletwa babu!!
Inafoka kwenye jagi,kupiga nguchu mbili nilihisi machozi yanalengalenga
Tulivyomaliza tuko tusu ukiangalia TV unaona ziko 2

Nilishindwa kurudi town sikuile

Banana Kali aisee
[emoji118] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
impongo pale nilipoanzia bado nipo ndio nataka kuanza safari nikimaliza hii. Najali muda na nittafata taratibu. Sina kampani kama kuna mdau anatoka moshi muda huu kuja kwa bashita aje pm tufarijiane njiani
1537033801189662780944.jpg
 
Back
Top Bottom