Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hii kitu ilinifanya nikose mke wa kisabato,,,,alinambia chagua kimoja kati ya '' Mimi na mi pombe yako" nikachagua mi pombe yangu
Hongera Lea maamuzi magumu na mazuri uliyochukua!!
 
Lipa kodi bila shuruti tulijenge taifa letu
IMG_20181013_200959.jpeg
 
Kwa wk end ndo yanahusika haya ila ni makali yani ukigonga mawili tu unayasikia Kwa head
ha ha ha ha mi hayo makali yalishanidhuru natumia lite tu,hapa nipo na chupa zangu na nyama choma naona wkend iko poa.
 
Back
Top Bottom