Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Charles Robert Darwin (12 February 1809 – 19 April 1882) was an English naturalist, geologist and biologist, best known for his contributions to the science of evolution. Also the author of "The Voyage of the Beagle" , "On the Origin of Species" & "The Descent of Man".
View attachment 1797080
Naam!
Narcos Mexico mkuu???Nipo naangalia series ya Narcos inayohusu maisha ya Pablo Escobar, japo alikua muhalifu ila hua namuAdmire sana. Moja ya kitu alichonifurahisha ni kupiga hii picha mbele ya ikulu ya marekani akiwa na mwanae wakati huo anatafutwa balaa. Hakuishia hapo aliipeleka familia yake kwenye kituo cha Disneyland marekani kula bata
View attachment 1797542
Alizaliwa south africa.. Kama sijakosea baadae akapelekwa ulaya huko kutokana na shepu lake mume wake aliuwawa.. Akawa anawekwa kwenye matamasha na akawa sextool alikufa kwa gonjwa la ngono sikumbuki jinaSarah Baartman.View attachment 1797693
Tecno zetu zina kifafa nimerudia kusoma nilichokiandika hapo nimebaki na mshangao sioni neno beautiful.The most beautiful woman ever.
BIBI KIDUDE JE?
HUYU NI MIMIBruce Lee! Ingawa amefariki muda kidogo lakini bado anatajwa Sana katika nyanja mbali mbali.
Ikiwa bado kufa kwake kuligubikwa na mengi lakini mengi yakujifunza yalikutanika kwake. View attachment 1796656
😔😔😔John Magufuli raisi alieongoza Tanzania kwa muda wa miaka 5 na miez 5 tu lakini alifanya mazuri Mengi yenye kujenga taifa lake ni rais aliependwa na wengi sio nchini kwake tu bali hata Africa na dunia nzima, wengine ilifikia hatua mpaka kutaman akaongoze nchi zao walau ata kwa muda wa miez 6
Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na taifa lake alifariki 17/3/2021 lakini mpaka leo kifo chake kimezua maswali mengi yenye utata kwa watu duniani koteView attachment 1798276
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika huyu mzee atakumbukwa kwa mengi haswa kwenye utumishi wa umma alio hudumu kwa kipindi chote.John Magufuli raisi alieongoza Tanzania kwa muda wa miaka 5 na miez 5 tu lakini alifanya mazuri Mengi yenye kujenga taifa lake ni rais aliependwa na wengi sio nchini kwake tu bali hata Africa na dunia nzima, wengine ilifikia hatua mpaka kutaman akaongoze nchi zao walau ata kwa muda wa miez 6
Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na taifa lake alifariki 17/3/2021 lakini mpaka leo kifo chake kimezua maswali mengi yenye utata kwa watu duniani koteView attachment 1798276
Sent using Jamii Forums mobile app
Baharia alikuwa na wake 700 na makonkyubaini 300. Yaani mpaka alimzidi babake (Mfalme Daudi) ubaharia [emoji16][emoji16]Mfalme sulemani anajulikana kama baba wa hekima. Hapo akiwa na malkia wa sheba aliyejulikana kwa jina la makeda.
Malkia wa sheba au makeda alionana na baba wa hekima miaka3000 iliyopita.
Mfalme suleman alifahamika kuwa ni baba wa hekima hasa alipoamua kesi iliyopelekwa mbele yake ya wanawake wawili waliokuwa kila mmoja na mtoto wake wa kiume na walikuwa wanafanana sana.View attachment 1796850
Asante sana kwa ujumbe wakoHakika huyu mzee atakumbukwa kwa mengi haswa kwenye utumishi wa umma alio hudumu kwa kipindi chote.
Kila alipokua kwenye nafasi fulani huko aliacha alama ya mfano, mtu mwenye udhubutu na maono ya mbali asie kubali kushindwa katika kile alichoona kinawezekana.
Ni bahati mbaya kidogo katika nafasi ya urais alipata doa ! Labda kwa vile hio kazi ya urais sio ndogo na inajumuisha mambo mengi hivyo mengine yalimwangusha Kama yalivyotokea kwa wengine.
Au labda alidhani namna ya kuongoza katika nafasi fulani Kama wizara Ni sawa na kuongoza katika urais hii ikapelekea kupata matokeo hafifu.
Sio wote walioweza kuona mwenendo wake ule wa uongozi kwamba ulikua unaelekea kubaya, Bali wengi waliona yupo sawa na no Bora kuliko wengi!
Mpaka anafariki ukweli ulikua unabaki kwamba angetuacha vibaya Kama taifa kipindi ambacho angetoka madarakani, lakini inabaki kua alikua Ni rais mwenye mema yake mengi Sana lakini katika mema mengi yale kulikuako na mwambato wa ubaya, kuliko pelekea kuonekana Ni mbaya moja kwa moja kwa walio wengi.
Mungu amjalie kuupata uzima wa milele.
Sent using Jamii Forums mobile app
John Magufuli raisi alieongoza Tanzania kwa muda wa miaka 5 na miez 5 tu lakini alifanya mazuri Mengi yenye kujenga taifa lake ni rais aliependwa na wengi sio nchini kwake tu bali hata Africa na dunia nzima, wengine ilifikia hatua mpaka kutaman akaongoze nchi zao walau ata kwa muda wa miez 6
Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na taifa lake alifariki 17/3/2021 lakini mpaka leo kifo chake kimezua maswali mengi yenye utata kwa watu duniani koteView attachment 1798276
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]Mtemakuni
View attachment 1795429