Mada maalumu ya wanaotumia vinywaji laini na sio pombe

Mada maalumu ya wanaotumia vinywaji laini na sio pombe

IMG_20180913_211905.jpg


Haya wale wa picha niko na koka yangu hapa mpaka nnyeg.e zimependa.
 
Baada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.

Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
Mm natumia vyote so niko huru kufuatilia
 
Mkuu Mimi kwakwel situmii Kabisaaa bia ila wine nagonga Kama kawa [emoji16][emoji16]..plus kina sminorf ice na wenzie wa jamii hizo ie Imagi ...sasa namie unaniweka kundi lipi...?
 
Wanywa soft drinks, Embu wine itoe hapo,
Hivo Kwanzaa manadiscuss nini ya maana sana,
 
He
Kuna mdada mmoja alimlazimisha mlevi azame chumvini yule mlevi si alitapikia humo lahaula.
Mpaka leo hataki kusikia walevi.
He he hile kitu huwa ni friendly kwa walevi...itakuwa tamu ya dada ilikuwa na hitilafu
 
Back
Top Bottom