Karibu.Nakazia
NtakustuaMi mkesha ulinishinda mkuu....huwa nakuwepo jioni mara nyingi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ili m-multiply diabetic generationUzi wetu huu.. inabidi tuoane humu humu ili tutengeneze familia ya vinywaji laini..
KaribuNa sisi wazee wa papuchi tuje humu
SawaNtakustua
Labda wa MikoaniKuna wanaume wamechangia huu uzi?
Kwani dhambi [emoji19]Kuna wanaume wamechangia huu uzi?
Mm natumia vyote so niko huru kufuatiliaBaada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.
Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
Haahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...mmeniamulia asee
Mi sober huwezi amini.. Hizi story changamsha genge tuu
Baba umewafata kwenye Uzi wao ahhh[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nzi wengi hapa,kuna nini kwani?
Wine ni pombe msizuge jamaniDrostdy Hof dry red 12.5 alcohol
Wewe ni mlevi kwani wine ni pombe sio soft drinkMkuu Mimi kwakwel situmii Kabisaaa bia ila wine nagonga Kama kawa [emoji16][emoji16]..plus kina sminorf ice na wenzie wa jamii hizo ie Imagi ...sasa namie unaniweka kundi lipi...?
We utakua ulikuaga mlevi ukastaafu[emoji3] [emoji3] [emoji3] wacha kutusingizia mkuu....mbona mi situmii kilevi na Instagram naisikia tu kwa watu na sijui hata ikoje..
We twende tu kwenye thread yetu ya waleviDrostdy Hof dry red 12.5 alcohol
Mhhh hiyo ni sigara laini au yenye kilevi?Kwani kahawa nayo ni kinywaji laini?View attachment 864425
He he hile kitu huwa ni friendly kwa walevi...itakuwa tamu ya dada ilikuwa na hitilafuKuna mdada mmoja alimlazimisha mlevi azame chumvini yule mlevi si alitapikia humo lahaula.
Mpaka leo hataki kusikia walevi.