mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kama Mods wameachia uzi wa Walevi,Mi nataka nianzishe uzi maalumu wa wala ndumu,sjui mods wataucha uishi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mada imefufuka kwa msaada wa waleviWanywa soft drinks, Embu wine itoe hapo,
Hivo Kwanzaa manadiscuss nini ya maana sana,
Vtu vingine mshana ni tabia ya mtu na mazingira alokulia either awe mlevi au si mleviBasi umeingia huko kwa bahati mbaya 😀 😀
Mungu ndo wa milele mkuu.Utaishi milele[emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina miaka 28.
Tangu nizaliwe sijawahi kuvuta bange, kunywa pombe, wala sigara.na sitarajii kufanya chochote kati ya hivyo.
Ulevi wangu wanawake.
Baada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.
Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
Shikamoo Black WomanWine kinywaji laini lakini kamata ya kutosha kama utaona njia ya kurudi home