higherhigh
Member
- Jun 28, 2018
- 35
- 25
alafu nasikia hawa wanaojifanya hawanywi pombe ndo wapenzi sana wa yale mambo ya chiniha ha ha ukifanya utafiti unaweza ukagundua wengi wanaotumia vinywaji bila kilevi huwa ni waongo na wanafiki,lakini watumiaji wa vinywaji vikali huwa wanafunguka na kusema ukweli.Hata kwenye mishe marafiki wanaotumia kileo ndio huwa na mawazo ya kuleta maendeleo.
Dah...anzisha bana ...tupeane mbinu[emoji263][emoji256][emoji3515] [emoji125][emoji125][emoji1732][emoji1732][emoji378][emoji95]Mi nataka nianzishe uzi maalumu wa wala ndumu,sjui mods wataucha uishi?
Wasiokunywa kabisa wanaitwa 'Tea-totaller' (yaani chai tu), lakini inatamkwa 'teetotaller' .
Hebu waulize hao wagidaji wanapata faida gani mbali na kujisikia 'kuchangamka' halafu kulewa, halafu kupata 'ajali' (ya 'kugonga' demu mwenye virusi bila kinga shauri ya ulevi) au kugonga gari (kwa ajali inayosababishwa na ulevi}?
Hebu nikuulize wewe mlevi:- Je, umewahi kupiga hesabu ya kiasi cha pombe unachokunywa kwa mwezi mmoa tu? Nakuhakikishia, ukiwa unaandika idadi ya bia unazokunywa kila siku, ukatafuta idadi na gharama yake kwa mwezi, utashituka. Gharama inaongezeka sana kama utakuwa unachukua demu kwenda ku-enjoy nae. Ukipiga hesabu, utatambua kwamba ndani ya miezi sita ungekuwa na hela ya kununua kiwanja. Miezi sita ingine, ungeweka msingi. Mwaka unaofuata ungepandisha mpaka lenta na kupaua. Mwaka unaofuata ungemalizia na kuhamia.
Duh..wameisaliti mada yao aisee mi ngoja nirudi zangu kwa walipa kodi
Kwakuwa hauvutiii.. Hauna vitu vizuri kama hivi[emoji116][emoji116][emoji23]Uzi hauna uhai [emoji23][emoji23]
Mshana ujerumani wako mbioni kuupitisha hangover au mning'inioKwakuwa hauvutiii.. Hauna vitu vizuri kama hivi[emoji116][emoji116][emoji23]View attachment 1217150
Nyumba hajawahi jengwa kirahisi hivyo labda kama unajenga kibanda
Wasiokunywa kabisa wanaitwa 'Tea-totaller' (yaani chai tu), lakini inatamkwa 'teetotaller' .
Hebu waulize hao wagidaji wanapata faida gani mbali na kujisikia 'kuchangamka' halafu kulewa, halafu kupata 'ajali' (ya 'kugonga' demu mwenye virusi bila kinga shauri ya ulevi) au kugonga gari (kwa ajali inayosababishwa na ulevi}?
Hebu nikuulize wewe mlevi:- Je, umewahi kupiga hesabu ya kiasi cha pombe unachokunywa kwa mwezi mmoa tu? Nakuhakikishia, ukiwa unaandika idadi ya bia unazokunywa kila siku, ukatafuta idadi na gharama yake kwa mwezi, utashituka. Gharama inaongezeka sana kama utakuwa unachukua demu kwenda ku-enjoy nae. Ukipiga hesabu, utatambua kwamba ndani ya miezi sita ungekuwa na hela ya kununua kiwanja. Miezi sita ingine, ungeweka msingi. Mwaka unaofuata ungepandisha mpaka lenta na kupaua. Mwaka unaofuata ungemalizia na kuhamia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]leo furahidei umesahauMshana ujerumani wako mbioni kuupitisha hangover au mning'inio
Kama ugonjwa kwahiyo waweza omba ruhusa ofisini kuwa Leo sitokuja naumwa mning'inio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
shida wanywa chai hamna ushirikiano kabisaMungu awabariki wanywa chai wote.
Mungu sio mbaguziMungu awabariki wanywa chai wote.
Nimeona hiyo Robertson hadi nimehisi KIU ππKwakuwa hauvutiii.. Hauna vitu vizuri kama hivi[emoji116][emoji116][emoji23]View attachment 1217150
Jaribu siku kumaliza dompo chupa mbili + afu ndio useme wine laini ππKwani wine aka mvinyo ni mgumu? Mimi naonaga wine ni laini sana
Moyo utakuwa unaenda mbio sana na miguu imelegea alaf kucheka cheka kwa sanaJaribu siku kumaliza dompo chupa mbili + afu ndio useme wine laini [emoji23][emoji23]
πππππMoyo utakuwa unaenda mbio sana na miguu imelegea alaf kucheka cheka kwa sana
View attachment 1289066
Hapa Tu. HAPAAAAAA TUUUUUU.