Mada maalumu ya wanaotumia vinywaji laini na sio pombe

Mada maalumu ya wanaotumia vinywaji laini na sio pombe

ha ha ha ukifanya utafiti unaweza ukagundua wengi wanaotumia vinywaji bila kilevi huwa ni waongo na wanafiki,lakini watumiaji wa vinywaji vikali huwa wanafunguka na kusema ukweli.Hata kwenye mishe marafiki wanaotumia kileo ndio huwa na mawazo ya kuleta maendeleo.
alafu nasikia hawa wanaojifanya hawanywi pombe ndo wapenzi sana wa yale mambo ya chini
 
Mi nataka nianzishe uzi maalumu wa wala ndumu,sjui mods wataucha uishi?
Dah...anzisha bana ...tupeane mbinu[emoji263][emoji256][emoji3515] [emoji125][emoji125][emoji1732][emoji1732][emoji378][emoji95]
 
Wasiokunywa kabisa wanaitwa 'Tea-totaller' (yaani chai tu), lakini inatamkwa 'teetotaller' .

Hebu waulize hao wagidaji wanapata faida gani mbali na kujisikia 'kuchangamka' halafu kulewa, halafu kupata 'ajali' (ya 'kugonga' demu mwenye virusi bila kinga shauri ya ulevi) au kugonga gari (kwa ajali inayosababishwa na ulevi}?

Hebu nikuulize wewe mlevi:- Je, umewahi kupiga hesabu ya kiasi cha pombe unachokunywa kwa mwezi mmoa tu? Nakuhakikishia, ukiwa unaandika idadi ya bia unazokunywa kila siku, ukatafuta idadi na gharama yake kwa mwezi, utashituka. Gharama inaongezeka sana kama utakuwa unachukua demu kwenda ku-enjoy nae. Ukipiga hesabu, utatambua kwamba ndani ya miezi sita ungekuwa na hela ya kununua kiwanja. Miezi sita ingine, ungeweka msingi. Mwaka unaofuata ungepandisha mpaka lenta na kupaua. Mwaka unaofuata ungemalizia na kuhamia.

Mkuu kila shetani na mbuyu wake. Faida unayoipata kwa kujenga nyumba ni sawasawa na raha unayoikosa kwa kutokunywa pombe.
Mimi ni teetotaller lakini.
 
Duh..wameisaliti mada yao aisee mi ngoja nirudi zangu kwa walipa kodi
Uzi hauna uhai [emoji23][emoji23]
Kwakuwa hauvutiii.. Hauna vitu vizuri kama hivi[emoji116][emoji116][emoji23]
IMG_20190927_075901.jpeg
 
Nyumba hajawahi jengwa kirahisi hivyo labda kama unajenga kibanda
Wasiokunywa kabisa wanaitwa 'Tea-totaller' (yaani chai tu), lakini inatamkwa 'teetotaller' .
Hebu waulize hao wagidaji wanapata faida gani mbali na kujisikia 'kuchangamka' halafu kulewa, halafu kupata 'ajali' (ya 'kugonga' demu mwenye virusi bila kinga shauri ya ulevi) au kugonga gari (kwa ajali inayosababishwa na ulevi}?
Hebu nikuulize wewe mlevi:- Je, umewahi kupiga hesabu ya kiasi cha pombe unachokunywa kwa mwezi mmoa tu? Nakuhakikishia, ukiwa unaandika idadi ya bia unazokunywa kila siku, ukatafuta idadi na gharama yake kwa mwezi, utashituka. Gharama inaongezeka sana kama utakuwa unachukua demu kwenda ku-enjoy nae. Ukipiga hesabu, utatambua kwamba ndani ya miezi sita ungekuwa na hela ya kununua kiwanja. Miezi sita ingine, ungeweka msingi. Mwaka unaofuata ungepandisha mpaka lenta na kupaua. Mwaka unaofuata ungemalizia na kuhamia.
 
Mshana ujerumani wako mbioni kuupitisha hangover au mning'inio
Kama ugonjwa kwahiyo waweza omba ruhusa ofisini kuwa Leo sitokuja naumwa mning'inio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]leo furahidei umesahau
 
Ukitaka kuwakomesha wanywa pombe mkiwa bar, we agiza BALTIKA

Heshima kwako halafu watupie ofa uone wote watafyata.
 
Back
Top Bottom