Si kweli mi sinywi hvo na sio muongeaji mambo ya watu hata sifatilii, kuna walevi nawajua ni wambeya hatariNi wambea hawa [emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mi napenda Maji na juice basi soda yenyewe sinywi kabisa nimeamua team healthyNenda kacheki sukari uone moto wake..
Kivipi?Ndio maana mnapata stroke kunyweni Pombe [emoji3]
Duh!Mi napenda Maji na juice basi soda yenyewe sinywi kabisa nimeamua team healthy
Mnakuwa na stress na frustrations kali sana..Kivipi?
Shangaa? Si inalewesha jamaniHivi wine sio pombe?
Hahaaaa yeye anywe tu bia zake as long as hatuudhiani na tunaheshimiana maisha yanaenda hivo hivo.Duh!
Sasa ukiolewa na mlevi inakuaje!?
Naamini unywe bia usinywe bia frustrations za life hazikwepeki ni jinsi ya wewe tu kuzi handle hzo frustrationsMnakuwa na stress na frustrations kali sana..
Maana hamna njia nyingine ya kutoa mawazo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni wambea hawa [emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Pombe haina sukari?Nenda kacheki sukari uone moto wake..
Mi nakunywaMnakuwa na stress na frustrations kali sana..
Maana hamna njia nyingine ya kutoa mawazo.
Basi umeingia huko kwa bahati mbaya 😀 😀Si kweli mi sinywi hvo na sio muongeaji mambo ya watu hata sifatilii, kuna walevi nawajua ni wambeya hatari
Pia wanywa soda wanaongoza kwa umbea na usengenyaji,mtandao wao wa kijamii ni instagram kwa mange na mobetoha ha ha ukifanya utafiti unaweza ukagundua wengi wanaotumia vinywaji bila kilevi huwa ni waongo na wanafiki,lakini watumiaji wa vinywaji vikali huwa wanafunguka na kusema ukweli.Hata kwenye mishe marafiki wanaotumia kileo ndio huwa na mawazo ya kuleta maendeleo.
Utaishi milele[emoji13]Mi napenda Maji na juice basi soda yenyewe sinywi kabisa nimeamua team healthy
Karibu sana jumapili na kila siku maombi ya mkesha!....hakuna kulala![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe huwa unakuja kwa Gwajima, nitakutafuta siku ukija nami nioshe nyota kwenye mndinga wako
NakaziaMnakuwa na stress na frustrations kali sana..
Maana hamna njia nyingine ya kutoa mawazo.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] wacha kutusingizia mkuu....mbona mi situmii kilevi na Instagram naisikia tu kwa watu na sijui hata ikoje..Pia wanywa soda wanaongoza kwa umbea na usengenyaji,mtandao wao wa kijamii ni instagram kwa mange na mobeto
Mi mkesha ulinishinda mkuu....huwa nakuwepo jioni mara nyingiKaribu sana jumapili na kila siku maombi ya mkesha!....hakuna kulala!