Mada maalumu ya wanaotumia vinywaji laini na sio pombe

Mnakuwa na stress na frustrations kali sana..

Maana hamna njia nyingine ya kutoa mawazo.
Naamini unywe bia usinywe bia frustrations za life hazikwepeki ni jinsi ya wewe tu kuzi handle hzo frustrations
 
Pia wanywa soda wanaongoza kwa umbea na usengenyaji,mtandao wao wa kijamii ni instagram kwa mange na mobeto
 
Pia wanywa soda wanaongoza kwa umbea na usengenyaji,mtandao wao wa kijamii ni instagram kwa mange na mobeto
[emoji3] [emoji3] [emoji3] wacha kutusingizia mkuu....mbona mi situmii kilevi na Instagram naisikia tu kwa watu na sijui hata ikoje..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…