HahahaNilisha kuonyesha dawa ya kutokula ban...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hata hivyo bado wana mning'inio kwa ule mchakamchaka wa jana...[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Imebidi nikajichungulie aisee
I'm sorry kiongozi.Mada imeshaelezewa hapo juu we umekalia kuuliza maswali tu hapa we teacher vipi?
Hata mshana alianza kama mimi....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Hahaha
Basi Sawa
Hata mbuyu ulianza kama mchicha...
Na Sakayo alianza kama weweHata mshana alianza kama mimi....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ukihitaji msaada wangu niambie mkuuBasi ngoja nikamate hiyo nafasi ilio wazi kwenye mtima wake...[emoji12] [emoji12]
Swali gani eti mtani? Labda naweza saidia kwa kofia ua "utani"I'm sorry kiongozi.
Ohhooooo......[emoji15] [emoji15] [emoji15][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Yeah hats mim ndip kwanza navisikia Leomh mi sijawai kukaona kiongozi kumbe kuna wanawake wanavimkia ....na je kama iko kamkia kako kwa mwanaume inakuaje ? Vice versa au? Au haipo kwa wanaume ?
Unaenda wapi labdaOhhooooo......[emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Basi naomba unifikishie hii...[emoji181] kwake....[emoji85] [emoji85]Ukihitaji msaada wangu niambie mkuu