Kwa wanaume sijui kwakuwa sijawahi kufanya utafiti[emoji85] [emoji85]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Kuna baadhi ya Wanaume wanakokamkia, yaani kanakua kama Mkia wa Kiboko ila kenyewe ni kadogo!(Tulikuwa tunaoga Ziwani nikamuona jamaa anako, huwa hapendi kuoga na watu wengine)
siamini kama ni wewe umekosa picha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] zipo ila zina ukakasisiamini kama ni wewe umekosa picha
mi nishakua nao kama watatu tulivo achana achana sijui hata ilikuaje ila wa mwisho yeye ndio alinikimbia
Unacho?!Hee una bahati ya mtende kupata wenye vimikia [emoji124]♀️
Unacho?!
Unacho?!
hahahahaahahahahaahh[emoji849][emoji849][emoji849]
weka bana nielewe
Loh.... [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwani wewe ni mwanamke!?Mm sijawahi kuona hiko kinyama