Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Ukishakuwa na upungufu wa kinga mwilini tayari ni tatizo

Jr[emoji769]

Kuna magonjwa ambayo ni hatari japo uwezi kuwa na upungufu wa kinga mwilini. Ila kiongelewacho ktk mada yako ni nyama inayojiokeza katika maeneo ya haja kwa mwanamke au mkia wasemavyo wengine. tusitoke nje ya mada yako.
 
Hii ni kweli nishawahi kuwa na mpenzi mwenye hiki kinyama kwa mawazo yangu nilifkr aliwahi lawitiwa akachanwa[emoji1487][emoji1487][emoji1487] maisha yake katika mapenzi n kama alivyosema mdau hapo,binafsi nliachana nae kwa kufikiri labda alilawitiwa kitu ambacho sikipendi.!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna magonjwa ambayo ni hatari japo uwezi kuwa na upungufu wa kinga mwilini. Ila kiongelewacho ktk mada yako ni nyama inayojiokeza katika maeneo ya haja kwa mwanamke au mkia wasemavyo wengine. tusitoke nje ya mada yako.
Kimwili kile kinyama sio ugonjwa...

Jr[emoji769]
 
Tuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly!

Kila mtu ana changamoto nyingi katika maisha lakini zinapozidi kwa baadhi ya watu ujue kuna shida mahali...

Tumesikia mara nyingi kuwa kuna wanawake mlango wa nane! Yani ukiingia naye kwenye mahusiano kila kitu kinaparaganyika na kuandamwa na mikosi nuksi na balaa mpaka muachane

Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana! Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano. Ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu.

Ni jambo la kushangaza kuwa kuna uhusiano gani kati ya kinyama husika na maisha ya mtu! Lakini hiyo ndio hali halisi.

Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima.

NB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa
Niliwahi sikia hiki kimkia huitwa/ndio asili ya neno GUNDU bro Mshana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifupi ni kuwa ukichunguza kila mwanamke hadumu kwenye mahusiano sikuizi
Na anaweza kuwa hana kitu chochote ila mapenzi yanamsumbua
Hyo ni kawaida kwa dunia ya sasa
Sasa wanawake wachache waliokuwa navyo wako katika kundi la watu na kila litakalo mtokea mtu anaeakini imani hizo hudhani tatizo ni mwanamke wake japo ndo dunia ilivyo
Hizo ni imani tu
 
Braza Mshana shikamoo
Leo umenifungua macho kwa uzi huu ingawa ni wa muda kidogo. Naweza kuwa shuhuda wa hili, nimeona na huyu mdada mwisho wa siku ni single mom ila ni descent sana na akimpenda mwanaume anampenda kweli.
 
Kuhusu kukatwa hivyo vinyama hata mimi nimeshawahi kusikia. Na kuna rafiki yangu mmoja aliwahi kunidokeza kuwa mkewe alikua nacho akakatwa, ikiwa ni baada ya wazazi wake mume kuhisi kuwepo shida kwenye masuala ya uzazi kwa mwanamke. Baada ya kukatwa mambo yakawa shwari.
Ni kweli ishu hiyo ya uzazi ila kuhusu kuvikata sina hakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Braza Mshana shikamoo
Leo umenifungua macho kwa uzi huu ingawa ni wa muda kidogo. Naweza kuwa shuhuda wa hili, nimeona na huyu mdada mwisho wa siku ni single mom ila ni descent sana na akimpenda mwanaume anampenda kweli.
[emoji120][emoji120][emoji120]

Jr[emoji769]
 
Naamini katika mila zetu na hata dada yangu yalimtokea n kikakatwa.....

Ko am sure on what l speak......

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
ni hospital au kienyeji?
 
Kuhusu kukatwa hivyo vinyama hata mimi nimeshawahi kusikia. Na kuna rafiki yangu mmoja aliwahi kunidokeza kuwa mkewe alikua nacho akakatwa, ikiwa ni baada ya wazazi wake mume kuhisi kuwepo shida kwenye masuala ya uzazi kwa mwanamke. Baada ya kukatwa mambo yakawa shwari.

Sent using Jamii Forums mobile app
walikata kwa njia ya opareshen au kienyeji?
 
Back
Top Bottom