Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kuna taarifa inasambaa mitandaoni tangu jana kuhusu hiyo task force inayodaiwa kuundwa kwa lengo la kukusanya fedha za serikali ya Japan zinazohusiana na Commodity Import Support.
Mtoa taarifa, mbali na kutaja watu anaowatuhumu, ameweka mpaka demand notice jambo linalonifanya nijuilize maswali mengi zaidi kwani inaleta picha/hisia kuwa hizo document huenda amepewa na wahanga wa hili jambo au watu wengine wasiopendezwa na mambo haya.
Kwakuwa sijui ukweli wa madai haya yaliyotolewa na yule whistleblower maarufu, sitaeleze tuhuma husika wala kutaja wanaotuhumiwa, ila natarajia wenye dhamana au watuhumiwa kujitokeza hadharani ama kukanusha au kutoa ufafanuzi.
Vile vile nasubiri neno kutoka kwa wamiliki wa akaunti zilizotajwa na pia mabenki husika kutoa ufafanuzi wa hizo akaunti.
Kama tuhuma hizi na zingineni zinazoibuka hivi sasa na kuandikwa mitandaoni na huyu whistleblower ni za kweli, basi naanza kupata wasiwasi na mashaka kama Mama yetu ataiweza vita aliyoianza au itabidi afunike kombe kunusuru baadhi ya watu.
Time will tell.
Mtoa taarifa, mbali na kutaja watu anaowatuhumu, ameweka mpaka demand notice jambo linalonifanya nijuilize maswali mengi zaidi kwani inaleta picha/hisia kuwa hizo document huenda amepewa na wahanga wa hili jambo au watu wengine wasiopendezwa na mambo haya.
Kwakuwa sijui ukweli wa madai haya yaliyotolewa na yule whistleblower maarufu, sitaeleze tuhuma husika wala kutaja wanaotuhumiwa, ila natarajia wenye dhamana au watuhumiwa kujitokeza hadharani ama kukanusha au kutoa ufafanuzi.
Vile vile nasubiri neno kutoka kwa wamiliki wa akaunti zilizotajwa na pia mabenki husika kutoa ufafanuzi wa hizo akaunti.
Kama tuhuma hizi na zingineni zinazoibuka hivi sasa na kuandikwa mitandaoni na huyu whistleblower ni za kweli, basi naanza kupata wasiwasi na mashaka kama Mama yetu ataiweza vita aliyoianza au itabidi afunike kombe kunusuru baadhi ya watu.
Time will tell.