Kuna genge la wahuni wako kazini uck na mchana na dawa ya haya magenge ni kupigwa risasi tu ndo yatajielewa mara baada ya kubainika yanahatia au yametiwa hatianiHivi ufisadi inchi hii upo au umetoweka?
Wadau mi mbona kama sielewi hii movie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna genge la wahuni wako kazini uck na mchana na dawa ya haya magenge ni kupigwa risasi tu ndo yatajielewa mara baada ya kubainika yanahatia au yametiwa hatianiHivi ufisadi inchi hii upo au umetoweka?
Wadau mi mbona kama sielewi hii movie
Sikiliza alichoongea Dr Mpango, makamu wa Rais, bungeni leo.Legacy ya magu ni ipi?
Na Dr. Mpango, makamu wa Rais mteuliwa leo bungeni kaweka wazi, mwendo ni wa Magu!Huu ndio ukweli👍
Mmenichekesha sana ni ndugu zangu kwanza id zenu na maneno yenu wacha nipite tuu...Fanya hivyo konda tuinyooshe nchi
Hiiii!Tulishuhudia wakati wa Mkapa waliokua na Mwinyi wakilia
Tukashuhudia wakati wa JK wa mkapa wakilia
Wakati JPM wa JK walilia
Na sasa kwa SSH tutashuhudia wa JPM wakilia
Kibaya wanaokua kwenye hizo nafasi huwa hawawazi huu mwisho[emoji28][emoji28]
SidhaniNdio unipe heshma stahiki. Mimi ndio mama D
We utakua lini shkamoo jazz??
Kwani hao wapinzani ni akina naniNguvu ya kudai mabadiliko haiwezi anzia kwenye chama kimoja ikafanikiwa
Mabadiliko ya kweli huletwa na nguvu ya umma..... Na hii inawezekana tuu kwa ila sasa nani wa kuchochea na Nani wa kutoa elimu
Wapinzani nao hawaeleweki, hawajielewi wala hawaaminiki