Tetesi: Madai kuhusu Commodity Import Task Force iliyoundwa kukusanya fedha za Serikali ya Japan na vigogo wanaohusishwa ni ya kweli?

Tetesi: Madai kuhusu Commodity Import Task Force iliyoundwa kukusanya fedha za Serikali ya Japan na vigogo wanaohusishwa ni ya kweli?

Ndio maana katiba mpya itakoyupunguza nguvu za kifalme na za umungu mtu wa Rais inahitajika ila chama chenu cha kijani hakisikii, hakielewi wala hakijufunzi kutokana na historia.
Tulishuhudia wakati wa mkapa waliokua na Mwinyi wakilia
Tukashuhudia wakati wa JK wa mkapa wakilia
Wakati JPM wa JK walilia
Na sasa kwa SSH tutashuhudia wa JPM wakilia

Kibaya wanaokua kwenye hizo nafasi huwa hawawazi huu mwisho[emoji28][emoji28]
 
Kuna taarifa inasambaa mitandaoni tangu jana kuhusu hiyo task force inayodaiwa kuundwa kwa lengo la kukusanya fedha za serikali ya Japan zinazohusiana na Commodity Import Support.

Kwakuwa sijui ukweli wa madai haya yaliyotolewa na yule whistleblower maarufu, sitaeleze tuhuma husika wala kutaja wanaotuhumiwa, ila natarajia wenye dhamana au watuhumiwa kujitokeza hadharani ama kukanusha au kutoa ufafanuzi.

Vile vile nasubiri neno kutoka kwa wamiliki wa akaunti zilizotajwa na pia mabenki husika kutoa ufafanuzi wa hizo akaunti.

Kama tuhuma hizi na zingineni zinazoibuka hivi sasa na kuandikwa mitandaoni na huyu whistleblower ni za kweli, basi naanza kupata wasiwasi na mashaka kama Mama yetu ataiweza vita aliyoianza au itabidi afunike kombe kunusuru baadhi ya watu.

Time will tell.
Mkuu ipo, hizi hela za mjapani wengi walizpiga sana kuanzia Mkapa na hasa Kipindi cha JK, alipoingia Jiwe alianza kuzifuatilia, Vigogo kadhaa walihojiwa akiwepo Manji kesi zaidi ya 20, Abood na nk.

Kulikuwa na taaisi ilikuwa inaitwa FOOD AID COUNTERPART ilikuwa inaundwa chini ya wizara ya Fedha, Kilimo mfadhili japani, Japani walitoa mikopo kwa watu waliopeka proposal za miradi, kigezo cha kupata fedha hizi ilikuwa ni kuwa na cash cover ya kudeposit na proposal business plan.

Manji alinufaika sana na deal hii kwani alikwatumika watu kutengeneza plan na yeye alikuwa natoa cash cover mnachukuwa mpunga.

Wengi hawakurudisha mikopo hii ndipo Jiwe akaanza kuifuatilia. Kiliundwa kikosi maalumu cha kufuatilia ambapo alikuwepo wawakilishi kutoka Wizara ya Fedha, Kilimo, TAKUKURU, Polisi na TISSS.
 
Ndio maana katiba mpya itakoyupunguza nguvu za kifalme na za umungu mtu wa Rais inahitajika ila chama chenu cha kijani hakisikii, hakielewi wala hakijufunzi kutokana na historia.

Nguvu ya kudai mabadiliko haiwezi anzia kwenye chama kimoja ikafanikiwa
Mabadiliko ya kweli huletwa na nguvu ya umma..... Na hii inawezekana tuu kwa ila sasa nani wa kuchochea na Nani wa kutoa elimu

Wapinzani nao hawaeleweki, hawajielewi wala hawaaminiki
 
Sasa pro upinzani kila story ya kuchafua legacy ya Magu wakitupiwa wanashangilia kama mazuzu! (Kwa sauti ya Nyerere).

Take time na jiridhishe kwani hii project ilianza muda mrefu kabla hata ya kifo cha Magu. Wanatumia tu euphoria mnayoionyesha kuzidisha majungu na story za kupika.
 
Kama wameamua kuweka wazi ni moja moja litaachiwa ili wazalendo tujulikane.
 
Mkuu ipo, hizi hela za mjapani wengi walizpiga sana kuanzia Mkapa na hasa Kipindi cha JK, alipoingia Jiwe alianza kuzifuatilia, Vigogo kadhaa walihojiwa akiwepo Manji kesi zaidi ya 20, Abood na nk.

Kulikuwa na taaisi ilikuwa inaitwa FOOD AID COUNTERPART ilikuwa inaundwa chini ya wizara ya Fedha, Kilimo mfadhili japani, Japani walitoa mikopo kwa watu waliopeka proposal za miradi, kigezo cha kupata fedha hizi ilikuwa ni kuwa na cash cover ya kudeposit na proposal business plan.

Manji alinufaika sana na deal hii kwani alikwatumika watu kutengeneza plan na yeye alikuwa natoa cash cover mnachukuwa mpunga.

Wengi hawakurudisha mikopo hii ndipo Jiwe akaanza kuifuatilia. Kiliundwa kikosi maalumu cha kufuatilia ambapo alikuwepo wawakilishi kutoka Wizara ya Fedha, Kilimo, TAKUKURU, Polisi na TISSS.
Swali ni je, hizo fedha baada ya kuzikusanya, zilipelekwa wapi?
 
Sasa pro upinzani kila story ya kuchafua legacy ya Magu wakitupiwa wanashangilia kama mazuzu! (Kwa sauti ya Nyerere).

Take time na jiridhishe kwani hii project ilianza muda mrefu kabla hata ya kifo cha Magu. Wanatumia tu euphoria mnayoionyesha kuzidisha majungu na story za kupika.
Huu ndio ukweli👍
 
Angalao hizo zilikuwa zinatufikia hizo za Wazalendo zilikuw juu kwa juu
Dah, safari ya kufikia kuwa wazalendo bado ni ndefu sana

Samia mi10 tena🔥🔥🔥🔥
Au tuseme CCM mi200 tena😎😎
 
Dah, safari ya kufikia kuwa wazalendo bado ni ndefu sana
Uzalendo wa kumwaga mabilioni wakati Raia wanashindia mlo mmoja.

Ngoja nikufundishe maana ya Uzalendo

Uzalendo ni Ugali mezani au Wali na Samaki na Nyama za mifugo

Asubuhi Chai na Vitafunwa mbalimbali mezani

Jioni Wali wa Maji kwa mboga zilizosalia mchana

Huo ndio Uzalendo ila kujua Manji anavuta nini sio kazi yangu
 
Back
Top Bottom