mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Wenzio wamesharudi CCM na wanasema Samia Suluhu Hassan ni wa kwao 100"CCM UKOO WA PANYA"
Umebaki wewe tuuu yani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzio wamesharudi CCM na wanasema Samia Suluhu Hassan ni wa kwao 100"CCM UKOO WA PANYA"
Raia wapi wa mlo mmoja kwa siku unawaongelea? Wale waliokua kwenye maandamano ya kuomboleza?Uzalendo wa kumwaga mabilioni wakati Raia wanashindia mlo mmoja.
Maneno yangu ni yale yale tu, huenda CCM na serikali iliyopita ikavunja rekodi ya ufisadi wa kutisha huku watanzania wakibatizwa jina la WanyongeKuna taarifa inasambaa mitandaoni tangu jana kuhusu hiyo task force inayodaiwa kuundwa kwa lengo la kukusanya fedha za serikali ya Japan zinazohusiana na Commodity Import Support.
Mtoa taarifa, mbali na kutaja watu anaowatuhumu, ameweka mpaka demand notice jambo linalonifanya nijuilize maswali mengi zaidi kwani inaleta picha/hisia kuwa hizo document huenda amepewa na wahanga wa hili jambo au watu wengine wasiopendezwa na mambo haya.
Kwakuwa sijui ukweli wa madai haya yaliyotolewa na yule whistleblower maarufu, sitaeleze tuhuma husika wala kutaja wanaotuhumiwa, ila natarajia wenye dhamana au watuhumiwa kujitokeza hadharani ama kukanusha au kutoa ufafanuzi.
Vile vile nasubiri neno kutoka kwa wamiliki wa akaunti zilizotajwa na pia mabenki husika kutoa ufafanuzi wa hizo akaunti.
Kama tuhuma hizi na zingineni zinazoibuka hivi sasa na kuandikwa mitandaoni na huyu whistleblower ni za kweli, basi naanza kupata wasiwasi na mashaka kama Mama yetu ataiweza vita aliyoianza au itabidi afunike kombe kunusuru baadhi ya watu.
Time will tell.
Hiz tetesi ni muhimu kufanyiwa kazi kwa uchunguzi wa kina ikiwa ni pamoja na kujua wanufaika wa uporaji huo na kuchukua hatua stahiki.Kuna taarifa inasambaa mitandaoni tangu jana kuhusu hiyo task force inayodaiwa kuundwa kwa lengo la kukusanya fedha za serikali ya Japan zinazohusiana na Commodity Import Support.
Mtoa taarifa, mbali na kutaja watu anaowatuhumu, ameweka mpaka demand notice jambo linalonifanya nijuilize maswali mengi zaidi kwani inaleta picha/hisia kuwa hizo document huenda amepewa na wahanga wa hili jambo au watu wengine wasiopendezwa na mambo haya.
Kwakuwa sijui ukweli wa madai haya yaliyotolewa na yule whistleblower maarufu, sitaeleze tuhuma husika wala kutaja wanaotuhumiwa, ila natarajia wenye dhamana au watuhumiwa kujitokeza hadharani ama kukanusha au kutoa ufafanuzi.
Vile vile nasubiri neno kutoka kwa wamiliki wa akaunti zilizotajwa na pia mabenki husika kutoa ufafanuzi wa hizo akaunti.
Kama tuhuma hizi na zingineni zinazoibuka hivi sasa na kuandikwa mitandaoni na huyu whistleblower ni za kweli, basi naanza kupata wasiwasi na mashaka kama Mama yetu ataiweza vita aliyoianza au itabidi afunike kombe kunusuru baadhi ya watu.
Time will tell.
Mtoni MtonganiRaia wapi wa mlo mmoja kwa siku unawaongelea? Wale waliokua kwenye maandamano ya kuomboleza?
Akifunika uozo haitasaidiaKuna taarifa inasambaa mitandaoni tangu jana kuhusu hiyo task force inayodaiwa kuundwa kwa lengo la kukusanya fedha za serikali ya Japan zinazohusiana na Commodity Import Support.
Mtoa taarifa, mbali na kutaja watu anaowatuhumu, ameweka mpaka demand notice jambo linalonifanya nijuilize maswali mengi zaidi kwani inaleta picha/hisia kuwa hizo document huenda amepewa na wahanga wa hili jambo au watu wengine wasiopendezwa na mambo haya.
Kwakuwa sijui ukweli wa madai haya yaliyotolewa na yule whistleblower maarufu, sitaeleze tuhuma husika wala kutaja wanaotuhumiwa, ila natarajia wenye dhamana au watuhumiwa kujitokeza hadharani ama kukanusha au kutoa ufafanuzi.
Vile vile nasubiri neno kutoka kwa wamiliki wa akaunti zilizotajwa na pia mabenki husika kutoa ufafanuzi wa hizo akaunti.
Kama tuhuma hizi na zingineni zinazoibuka hivi sasa na kuandikwa mitandaoni na huyu whistleblower ni za kweli, basi naanza kupata wasiwasi na mashaka kama Mama yetu ataiweza vita aliyoianza au itabidi afunike kombe kunusuru baadhi ya watu.
Time will tell.
Ndio naniMtoni Mtongani
Tatizo kila mtu ana mentality ya kapiga kwenye awamu akatayo kuwaTulishuhudia wakati wa mkapa waliokua na Mwinyi wakilia
Tukashuhudia wakati wa JK wa mkapa wakilia
Wakati JPM wa JK walilia
Na sasa kwa SSH tutashuhudia wa JPM wakilia
Kibaya wanaokua kwenye hizo nafasi huwa hawawazi huu mwisho[emoji28][emoji28]
Kumbe wewe ni wa Mikoani,Mimi Uzalendo wangu ni huu hapo Ugali SamakiNdio nani
Mimi wa kijijini mkuu hata mkoani sipajui
Sasa pro upinzani kila story ya kuchafua legacy ya Magu wakitupiwa wanashangilia kama mazuzu! (Kwa sauti ya Nyerere).
Take time na jiridhishe kwani hii project ilianza muda mrefu kabla hata ya kifo cha Magu. Wanatumia tu euphoria mnayoionyesha kuzidisha majungu na story za kupika.
Roganeni huko huko msije tena Mjini mumetusumbua sanaMimi wa kijijini mkuu hata mkoani sipajui
😂😂😂😂😂😂 naanza na weweRoganeni huko huko msije tena Mjini mumetusumbua sana
Hahaha haamini anachokionaMama umeamua kuwa kando,ule ugonjwa wakusifia na kuabudu umepona?
Wao wanaamin kikundi chao cha CHADEMA kinatakiwa kiwe na nguvu dhidi ya kikundi cha CCM basi yatosha kuipata katiba mpya.Nguvu ya kudai mabadiliko haiwezi anzia kwenye chama kimoja ikafanikiwa
Mabadiliko ya kweli huletwa na nguvu ya umma..... Na hii inawezekana tuu kwa ila sasa nani wa kuchochea na Nani wa kutoa elimu
Wapinzani nao hawaeleweki, hawajielewi wala hawaaminiki