Tetesi: Madai kuhusu Commodity Import Task Force iliyoundwa kukusanya fedha za Serikali ya Japan na vigogo wanaohusishwa ni ya kweli?

Uzalendo wa kumwaga mabilioni wakati Raia wanashindia mlo mmoja.
Raia wapi wa mlo mmoja kwa siku unawaongelea? Wale waliokua kwenye maandamano ya kuomboleza?
 
Maneno yangu ni yale yale tu, huenda CCM na serikali iliyopita ikavunja rekodi ya ufisadi wa kutisha huku watanzania wakibatizwa jina la Wanyonge
 
Hiz tetesi ni muhimu kufanyiwa kazi kwa uchunguzi wa kina ikiwa ni pamoja na kujua wanufaika wa uporaji huo na kuchukua hatua stahiki.
 
Akifunika uozo haitasaidia
 
Tulishuhudia wakati wa mkapa waliokua na Mwinyi wakilia
Tukashuhudia wakati wa JK wa mkapa wakilia
Wakati JPM wa JK walilia
Na sasa kwa SSH tutashuhudia wa JPM wakilia

Kibaya wanaokua kwenye hizo nafasi huwa hawawazi huu mwisho[emoji28][emoji28]
Tatizo kila mtu ana mentality ya kapiga kwenye awamu akatayo kuwa
Wengine ushkaji wanautumia pia

Ova
 
Legacy ya magu ni ipi?
 
Kuna gharama kubwa kuficha uongo na ndio yaliyokua yanatokea
 
Wao wanaamin kikundi chao cha CHADEMA kinatakiwa kiwe na nguvu dhidi ya kikundi cha CCM basi yatosha kuipata katiba mpya.

Wao kuwapa elimu wananchi n kukitukana kikundi cha CCM na walio karibu nacho basi katiba inapatikana.

Wanahubiri NO VISASI mioyo yao inatupa taarifa kuwa wamebeba sime na mapanga vifuani mwao.

WATANZANIA HAWAELEWI WAMUAMINI NANI ZIMWI WASILO LIJUA AU WALIJUALO.

#tupoNAsafari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…