Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Tuchukulie mfano Secret Services zimejua, what next?

Kwanini hutaki kuhisi kwamba hizo habari Kabendera amezipata kutoka kwa hizo hizo Secret Services unazozitaja hapa?
 
Kwanini usishauri apelekwe mahakamani akatoe ushahidi?
 
nigga pleasee, Magufuli ampige mtu risasi live tena ikulu halafu ndio ije kujulikana leo? maadui wote hao wasiseme tu? come on man, you are better than that …
Hii imeanza kuongelewa kitambo sana, hata threads humu JF zililizungumzia exactly na anavyobainisha Kabendera. The difference ni kwamba Kabendera officially amejitolea kulimwaga hadharani, si mjinga kwamba hajui consequences za ku-publish jambo ambalo akibanwa hataweza kulithibitisha. He knows na 'waja' wanajua wakithubutu kumshitaki pasina kufahamu ana information za ndani kwa kiasi gani yanaweza kuibuliwa mengi wasiyotaka yajulikane hadharani. It's the kind of risk that the 'system' isn't ready to take.
 
Duh!
 
wanasema risasi ilifyatuka bahati mbaya alikuwa hana nia ya kumuua ni kiumtisha tu..
 
Putin alimuua nani kwa mkono wake ukasikia kila mahali?
 
Kwa mfano, Kabendera kasema Magufuli alikwenda kwa Samia na pajama akitaka kumbaka, Samia mpaka akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Samia aitwe mahakamani kuhojiwa kuhusu suala hili.
Vyeo ni vya moto waungwana bora hizi harakati zetu za deiwaka
 
Mpaka leo najiuliza tuliwezaje kuwa na dubwana kama lile? Na angekuwepo leo wangekuwa wameuwawa wangapi?
 
Naunga mkono hoja
EK ni mwandishi wa IJ, amefanya IJ yake akaandika kitabu, unless kama unakijua kilichompata Ben Saanane, huna moral authority kumkosoa EK!. Erick Kabendera: Will I be safe or I may end in the prison tomorrow?

P
 
Hatuwezi kuvumilia uongo na ulipizaji visasi na kuzusha madai bila ushahidi. Kesho, ataibuka mwingine na utopolo kama huu. Sheria iko wazi kuwa anayedai lazima athibitishe. Ni rahisi na wazi hivyo mwanangu.
Anatakiwa athibitishie wapi?
 
Yale ya kutaka toba dakika za mwisho tena toka kwa Kardinali, yanafikirisha sana.
 
Lissu anaujua mpango wote wa jaribio la kumuua na ameshayaongea, ya Chacha Wangwe pia ameyaongea na hakuna anayethubutu kumpeleka mahakamani kwani serikali inahofia kuumbuka na wananchi kuujua zaidi ukweli.
Jambo lolote ambalo serikali haukuhusika kabisa lakini minong'ono pamoja na kelele za hapa na pale zinaohusisha lazima wafanye upelelezi wa kina mpaka wakamate wahusika na kuwapeleka mahakamani ili wajisafishe, hakuna serikali inayoweza kukalia kimya uhusishwaji wa mauaji huku waliohusika ni wengine.
The guilty are always afraid.
 
Mzee mbona kama umedata? Umewahi kusikia Melo analalamika Server zinajaa?
 
Mzee mbona kama umedata? Umewahi kusikia Melo analalamika Server zinajaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…