Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Naunga mkono hoja
EK ni mwandishi wa IJ, amefanya IJ yake akaandika kitabu, unless kama unakijua kilichompata Ben Saanane, huna moral authority kumkosoa EK!. Erick Kabendera: Will I be safe or I may end in the prison tomorrow?

P
Who the fcuk is Kabendera not to be questioned? He is not above reproach and he has an axe to grind.

He hasn’t provided any proof other than just words.

When you lay out extraordinary claims without proof we have the right to ask for the extraordinary evidence.

You can’t call someone a cold blooded murderer and not provide proof.

You can’t call someone a rapist without proof.

Where is Kabendera’s proof that Magufuli committed murder at state house?
 
Upuuzi mtupu! Tangu samia aingie madarakani kuna watu wako bize kumchafua magufuli. Nani asiejua kuna mpasuko ndani ya ccm? Hivi imekaribia uchaguzi wameanza kuibua maswala ya magufuli inawasaidia nini? Mbona mnasema ya hayati na ya aliehai hamyasemi? Magufuli ameshafariki hata mkisema hatakuja kuwajibu. Tuambieni ya samia akajibu tuhuma zake. Taja ya wamasai kufukuzwa, kuuza bandari na mikataba mingine ili samia ajibu maana yupo. Atueleze utekaji na matukio mengine. Unasema ya magufuli ambae hawezi kurudi kukanusha au kukubali kama ameyatenda au anasingiziwa? Nadhan mnayo mengine mabaya ya kusema juu ya magufuli yasemeni sasa wakati ndio huu. Propaganda za kumchafua hayati kama zinawasaidia endeleeni lakin sisi hatuoni mnachofanya.
Hata Hitler, Idd Amin, Bokassa, Mussolini bado wanasema(wanasingiziwa?) na hawana uwezo wa kujitetea. Hivyo basi Magu kama hao 'wenzake' naye ataendelea kusemwa tu, hivyo ndivyo jinsi uhalisia ulivyo.
 
Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Ulivyomaliza na conclusion yako inaonekana kabisa una chuki ya wazi na marehemu na unatakiwa kupuuzwa.
 
Mimi huwa naamini mtu akifanya kitu kwakukusudia huwa anachokitu kingine cha kumlinda
Kabendera kuandika hili anayosababu nyuma yake
 
Akili zingine

Yaani umpige mtu risasi Ikulu uache kwenda kumtupa bahari ya hindi mbele yako, umpakie kwenye gari na midamu inachuriza mpaka mto Rufiji.

Wakati baharini mwili ukiufunga na jiwe ndio bye bye tena ushakuwa chakula cha deep sea creatures.

Uache bahati, mbele yako ukamtupe kwenye mto ambao maji yanasogea chances za mwili kuokotwa ni kubwa.

Ukampige mtu risasi Ikulu, tena ya kichwa tena at close range huo ubongo na damu si itatapakaa Ikulu nzima hao watakao futa hiyo damu si watajua.

Ben aende Ikulu mwenyewe, na mikamera yote ya Ikulu, wafanyakazi wote wa Ikulu ambao watamuona anavyoingia, watakaomkagua; halafu wasimuone akitoka na ikawa siri.

Watu walikuwa wanatoa siri za vikao na classified documents zama za Magufuli kwa kigogo, wangeacha kusema mara ya mwisho aliingia Ikulu kabla ya kupotea.

You must be very stupid kuamini improbable scenario ya Kabendera.

Kitabu chenyewe hata wazungu kwao hawaja kichapa maana hata wao wameona ujinga mwingi. Kimechapishwa huko S.A kwenye wapuuzi wenzetu.
 
Who the fcuk is Kabendera not to be questioned? He is not above reproach and he has an axe to grind.

He hasn’t provided any proof other than just words.

When you lay out extraordinary claims without proof we have the right to ask for the extraordinary evidence.

You can’t call someone a cold blooded murderer and not provide proof.

You can’t call someone a rapist without proof.

Where is Kabendera’s proof that Magufuli committed murder at state house?

Ashitakiwe, ushahidi ataenda kuutoa mahakamani.
Investigative Journalist Erick Kabendera atawenyea mahakamani. Jichetueni. 😁
 
Who the fcuk is Kabendera not to be questioned? He is not above reproach and he has an axe to grind.

He hasn’t provided any proof other than just words.

When you lay out extraordinary claims without proof we have the right to ask for the extraordinary evidence.

You can’t call someone a cold blooded murderer and not provide proof.

You can’t call someone a rapist without proof.

Where is Kabendera’s proof that Magufuli committed murder at state house?
Nina swali moja dogo kwako, Ben Saanane amepotea kweli au uongo?.

Unajua kilimtokea nini?.
EK ni mwandishi wa IJ, amefanya IJ yake akaandika kitabu, unless kama unakijua kilichompata Ben Saanane, huna moral authority kumkosoa EK!. Erick Kabendera: Will I be safe or I may end in the prison tomorrow?

P
 
Akili zingine

Yaani umpige mtu risasi Ikulu uache kwenda kumtupa bahari ya hindi mbele yako, umpakie kwenye gari na midamu inachuriza mpaka mto rufiji.

Baharini mwili ukiunga na jiwe ndio bye bye tena ushakuwa chakula cha deep sea creatures.

Ukamtupe kwenye mto ambao maji yanasogea chances za mwili kuokotwa ni kupwa.

Ukampige mtu risasi Ikulu, ya kichwa tena at close range huo ubongo si na damu si itatapakaa Ikulu nzima hao watakao futa hiyo damu si watajua.

Ben aende Ikulu mwenyewe, na mikamera yote ya Ikulu, wafanyakazi wote wa Ikulu ambao watamuona anavyoingia, watakaomkagua; halafu wasimuone akitoka na ikawa siri.

Watu walikuwa wanatoa siri za vikao na classified documents zama za Magufuli kwa kigogo, wangeacha kusema mara ya mwisho aliingia Ikulu.

You must very stupid kuamini improbable scenario ya Kabendera.

Kitabu chenyewe hata wazungu kwao hawaja kichapa maana hata wao wameona ujinga mwingi. Kimechapishwa huko S.A kwenye wapuuzi wenzetu.

Kabendera kaleta kadhia kubwa sana. Mmepoteana. 😁
 
Swali la kujiuliza ni moja Tu

Je Ben saa nane alikuwa na madhara makubwa Kwa serikali?

Je beni saa nane angeweza kupindua utawala wa magufuli?

Je Ben saa nane alikuwa na madhara yoyote Kwa Rais Personal?
Kwani Tundu Lissu alikuwa na uwezo wa yote haya☝🏻☝🏻?

Alikuwa na madhara gani kwa serikali? Kwa Magufuli mwenyewe personal? Alikuwa na uwezo wa kupindua serikali..?

Majibu ya maswali yako yote hayo yako kwenye jibu la swali hili👇🏻 kama utaitendea haki nafsi yako mwenyewe kwa kulitolea jibu sahihi...

Tell us.

Why do you think Mr. Magufuli wanted Tundu Lissu to be brutally killed in that way...
?

Au na wewe utarudi kulekule kuuliza, "una ushahidi kuwa Magufuli alitaka kumuua Tundu Lissu..?"

Ukiuliza swali hilo☝🏻, moja kwa moja nitakujua wewe ni mtu wa namna gani...

Katika kipengere hiki nakuachia swali muhimu hili👇🏻👇🏻

Hivi wewe kwa akili zako unadhani shetani huwa na sababu zozote za maana na za msingi anapokutafuta akuangamize/akupoteze/akuue..?

All I can say, maswali yako yote haya ni inconsequential & illogical...!
If not then Magu hawez kumuua Kwa kumpiga risasi trust me
No body with perfect mind can trust yo...

Kama hakumuua kwa "kumpiga risasi", then tell us, how he killed him? Alimpa sumu? Alimnyonga? Alimkaanga kwenye tindikali? How...??

Vyovyote iwavyo, Ben Sanane hayupo, if he's truly dead, it doesn't matter alimuua kwa njia gani. Ukweli ni mmoja tu ALIMUUA...!!
Kabendera ana history mbovu na magufuli so anaweza kusema anything
Eleza, fafanua...

Ni historia gani mbaya aliyonayo na huyo aliyeitwa John P. Magufuli...?

Au hujui kuwa Erick Kabendera ni mmojawapo wa victims wa utawala wa kikatili wa Magufuli..?

Hujui kuwa naye aliponeaga chupuchupu kuuwawa na huyo bwana...?
Ila nitakuwa wa mwisho kuamini magu alimshoot Ben saa nane
Bora ubaki huamini kuliko kujenga hoja dhaifu na mfu kutetea kutoamini kwako...!!
 
Kama kuna watu wanasema Kabendera ni muongo, wamshitaki akatetee maneno yake mahakamani, mashahidi pia waitwe mahakamani kuhojiwa chini ya kiapo at the possible penalty of perjury.

Kwa mfano, Kabendera kasema Magufuli alikwenda kwa Samia na pajama akitaka kumbaka, Samia mpaka akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Samia aitwe mahakamani kuhojiwa kuhusu suala hili.
Hakutoa 'bunduki yenye kiwambo cha sauti(sijasema govi)' wakati akitaka kumbaka kweli!?
 
kwa hiyo unaamini kabisa raisi wa JMTZ ampige mtu risasi live ikulu halafu international community yote ikae kimya? kama tu maandamano balozi zote za kizungu huandika kwenye websites zao iwe kupigwa mtu risasi tena raisi wasiyempenda live ? nafikiri labda ni full moon leo, au haujakula vizuri na kushiba labda ? au thinking us hard for you?
Una akili ndogo!!.. unadhani ikulu ni nyumba ya vyumba vinne na sebule
 
Akili zingine

Yaani umpige mtu risasi Ikulu uache kwenda kumtupa bahari ya hindi mbele yako, umpakie kwenye gari na midamu inachuriza mpaka mto rufiji.

Baharini mwili ukiunga na jiwe ndio bye bye tena ushakuwa chakula cha deep sea creatures.

Ukamtupe kwenye mto ambao maji yanasogea chances za mwili kuokotwa ni kupwa.

Ukampige mtu risasi Ikulu, ya kichwa tena at close range huo ubongo si na damu si itatapakaa Ikulu nzima hao watakao futa hiyo damu si watajua.

Ben aende Ikulu mwenyewe, na mikamera yote ya Ikulu, wafanyakazi wote wa Ikulu ambao watamuona anavyoingia, watakaomkagua; halafu wasimuone akitoka na ikawa siri.

Watu walikuwa wanatoa siri za vikao na classified documents zama za Magufuli kwa kigogo, wangeacha kusema mara ya mwisho aliingia Ikulu.

You must very stupid kuamini improbable scenario ya Kabendera.

Kitabu chenyewe hata wazungu kwao hawaja kichapa maana hata wao wameona ujinga mwingi. Kimechapishwa huko S.A kwenye wapuuzi wenzetu.
Go figure!

Na ya kumbaka Samia je? This shit is beyond comical.

Unajua mtu ukiwa unamchukia, pale usikiapo habari yoyote ile iliyo mbaya inayomhusu, unakuwa more inclined kuiamini kwa sababu hisia zako zinakuwa clouded na hatred uliyonayo dhidi yake.

Eti Magufuli alienda nyumbani kwa Samia kavaa pajama 🤣 akala mzigo kwa nguvu.

Ndo level zetu hizi Watanzania. Wanaohoji ni wachache na wanaoamini [bila ushahidi wowote] ni wengi kuliko.

So dumb.
 
Back
Top Bottom