Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Ila ile kampani ya wapima samaki kwa rula haiaminiki
 
Simjui huyo Ben mimi zaidi ya hapa JF.

Sijui kilichomtokea.

Huyo Kabendera zaidi ya maneno, hajaweka ushahidi wowote ule.

Hata kama ni investigative journalist, hiyo haimaanishi yuko above reproach.

Hawezi tu kuandika mambo yaliyo outlandish halafu tusiyahoji kisa yeye ni investigative journalist.

Kutokuhoji ni upumbavu. Wewe kama unaamini kila alichokiandika, sawa. Una haki ya kuwa mpumbavu.
 
Reactions: Tui
Hizi takataka sijui mnazitoa wapi?wtz wengi mnamatatizo ya akili
 
Kazi ya kuhakikisha yale amesema niya kwake. sio sisi
Haiingii akili eti ampige risasi wakati watu maalum wa kupiga hiyo risasi anao wamemzunguka labda uniambia alimtumia kama taegget ya kujifunzia
Unafikiri bastola aliyokuwa anatembea nayo kiunoni ilikua ya kuwindia ndege?!
 
Ingekuwa vema Kabendera apelekwe mahakamani kwa kosa la kumchafua shujaa wenu.
 
Nikajua na wewe umeleta ushahidi,kumbe ni Moani tu, sasa Raisi kutembea na bastola nayo ndo hoja, kwani Mtajiri wangapi ambao hawana hata nafasi ya udiwani,wanatembea na Bastola au na wao ni wauaji ?
Mi mwenyewe nikwia bilionea ,nitatembea na Bastola
Bora ungethibitisha maneno yake kwa ushahidi hata kidogo,
 
Well hakuna shida Mungu wetu sote. Niswala la Muda sasa nauwelewa utabiri wa Gwajima
 
Je marais wa Tz wanatuuwa watu wao Mungu aingilie kati
 
Huna hoja zaidi ya kufanyakile kile unachoshauri wenzako wasifanye. Mwache Kabendera ajitetee mwenywe kw akuleta ushahidi. Vinginevyo unatupotezea muda au kutafuta kiki tu. kwa kuanzisha uzi huu
Akiripoti kutoka Kizimkazi,huyu ni chawa wa kijani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…