Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Siku mkijua ukweli mta tahayari sana,

Magufuli alikuwa na hasira za karibu lakini alikuwa mwepesi kusamehe.

Magufuli huyuhuyu alikuwa ni mtu mwenye mental disorders yaani Mimi naweza kupiga mtu ila akajigamba yeye.

Tukio la kukoswa koswa Lissu lilifanywa na upinzani.

Hata Ben saanane waulizwe upinzani.

Alfonce Mawazo waulizwe upinzani

Ili kuing'oa CCM madarakani kunatakiwa matambiko na damu za watu zimwagike ili tu kutengeneza mtaji wa kisiasa.

Siyasemi ya Chacha Wangwe kwasababu haya wengi wanayajua.

Ili ukubalike na watu milioni kumi kwenye bongo na fikira zao siyo suala dogo eti kisa umesoma Political science jidanganye.

Natamani Lissu ashinde uenyekiti wa chama lakini hawezi kwasababu yeye ni mlaini kama tikiti.

Kisu kikitua kwenye tikiti,linaumia tikiti

Vilevile tikiti likijigamba eti liende Kwa force likatue kilipo kisu,litaumia tikiti tu.

Siasa ni mchezo mchafu sihitaji kizazi changu kijihusishe na huu uharamu
Hawajambo huko kuzimu??
 
kinachonifanya nisikubali ni common sense ya kawaida tu, simtetei Magufuli au yoyote yule, lkn hili hali make sense hata kidogo, Magufuli mpaka anakufa alikuwa na maadui nje na ndani ya nchi, sababu ya corona politics zake, iweje amuuwe mtu tena kwa risasi halafu sijui bendera ajue lkn secret services zote za wazungu zisijue?
Serikali nyingi zimeua watu..tofauti zao ni ndogo
 
Umeandika ujinga wa kiwango Cha PhD. Walewale wajinga kama akina kabendera. Nilitegemea uweke ushahidi hapo kumbe porojo za kijinga tu. Nyie mashetani kama wewe Huwa mnazaliwa wapi na akina nani? Shetani mkubwa na ujinga wako kufa haraka tupunguze mashetani nchini.
Kama kuna watu wanasema Kabendera ni muongo, wamshitaki akatetee maneno yake mahakamani, mashahidi pia waitwe mahakamani kuhojiwa chini ya kiapo at the possible penalty of perjury.

Kwa mfano, Kabendera kasema Magufuli alikwenda kwa Samia na pajama akitaka kumbaka, Samia mpaka akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Samia aitwe mahakamani kuhojiwa kuhusu suala hili.
Mkuu, are you, too, falling for this cheap personal attack?
 
Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Muongo mkubwa wote wanaopiga watoto na wake zao hawana akili?
 
Umeandika ujinga wa kiwango Cha PhD. Walewale wajinga kama akina kabendera. Nilitegemea uweke ushahidi hapo kumbe porojo za kijinga tu. Nyie mashetani kama wewe Huwa mnazaliwa wapi na akina nani? Shetani mkubwa na ujinga wako kufa haraka tupunguze mashetani nchini.
We una faida gani kwanini usitangulie kufa
 
Mkuu, are you, too, falling for this cheap personal attack?
Why and how do you even begin to draw that logical non sequitur?

Watanzania kwa nini mnakuwa mabingwa wa kusoma kisichoandikwa huku mkikiacha kilichoandikwa?

Nimesema hivii, kuna tuhuma, kama tuhuma ni za uongo, aliyetoa tuhuma ashitakiwe, tupate nafasi ya kusikia watu wakitoa ushahidi mahakamani chini ya kiapo, wakidanganya wawe na kosa la perjury.

Sasa hapo utasemaje I'm falling for anything other than stressing the importance of veracity?

Mimi sitaki mabishano yasiyo na structure mitandaoni.

Nataka mashitaka mahakamani, kwenye rules of evidence, ambako witnesses wanapoweza kuwa subpoenaed kutoa ushahidi, under oath.

Tujue mbivu na mbichi.

What's wrong with that?
 
Kuna watu damu zao sio za kuchezea, damu ya Ben haikuwa nyepesi kama alivyoonekana yeye Ben mwenyewe.
 
Why and how do you even begin to draw that logical non sequitur?

Watanzania kwa nini mnakuwa mabingwa wa kusoma kisichoandikwa huku mkikiacha kilichoandikwa?

Nimesema hivii, kuna tuhuma, kama tuhuma ni za uongo, aliyetoa tuhuma ashitakiwe, tupate nafasi ya kusikia watu wakitoa ushahidi mahakamani chini ya kiapo, wakidanganya wawe na kosa la perjury.

Sasa hapo utasemaje I'm falling for anything other than stressing the importance of veracity?

Mimi sitaki mabishano yasiyo na structure mitandaoni.

Nataka mashitaka mahakamani, kwenye rules of evidence, ambako witnesses wanapoweza kuwa subpoenaed kutoa ushahidi, under oath.

Tujue mbivu na mbichi.

What's wrong with that?
Well, “Kama kuna watu wanasema Kabendera ni muongo, wamshitaki…” Could you possibly be one of them?

Kama shida yako ni kujua mbinu na mbichi, kwa nini wewe usifanye hivyo?
 
Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Upo sahihi kabisa katika hili
 
Kama kuna watu wanasema Kabendera ni muongo, wamshitaki akatetee maneno yake mahakamani, mashahidi pia waitwe mahakamani kuhojiwa chini ya kiapo at the possible penalty of perjury.

Kwa mfano, Kabendera kasema Magufuli alikwenda kwa Samia na pajama akitaka kumbaka, Samia mpaka akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Samia aitwe mahakamani kuhojiwa kuhusu suala hili.
ulichokitabu mkuu huwezi nisaidia nikakipata maana naona kuna meeng
 
Nzito au umeamua kuipa uzito?
Ad-hominem logical fallacy
Jibu hoja, usijibu hisia zangu kuhusiana na hoja.

Badala ya kuniuliza kwanini nimeipa uzito hoja, jenga hoja za kuonyesha kwamba hili sio swala la mimi kulipa uzito.

Mfano unaweza sema kwa mtizamo wangu nauona huu uchambuzi sio mzito kama ulivyodai kwasababu A,B,C...
 
Anayeamini huo ujinga wa kabendera ni kichaa na anatakiwa kupelekwa hospitali ya vichaa milembe Dodoma.
Wewe ndo unaepaswa kuwahishwa hospitali haraka.

Hakuna lolote la uongo alilosema Kabendera
 
Kwani Tundu Lissu alikuwa na uwezo wa yote haya☝🏻☝🏻?

Alikuwa na madhara gani kwa serikali? Kwa Magufuli mwenyewe personal? Alikuwa na uwezo wa kupindua serikali..?

Majibu ya maswali yako yote hayo yako kwenye jibu la swali hili👇🏻 kama utaitendea haki nafsi yako mwenyewe kwa kulitolea jibu sahihi...

Tell us.

Why do you think Mr. Magufuli wanted Tundu Lissu to be brutally killed in that way...
?

Au na wewe utarudi kulekule kuuliza, "una ushahidi kuwa Magufuli alitaka kumuua Tundu Lissu..?"

Ukiuliza swali hilo☝🏻, moja kwa moja nitakujua wewe ni mtu wa namna gani...

Katika kipengere hiki nakuachia swali muhimu hili👇🏻👇🏻

Hivi wewe kwa akili zako unadhani shetani huwa na sababu zozote za maana na za msingi anapokutafuta akuangamize/akupoteze/akuue..?

All I can say, maswali yako yote haya ni inconsequential & illogical...!

No body with perfect mind can trust yo...

Kama hakumuua kwa "kumpiga risasi", then tell us, how he killed him? Alimpa sumu? Alimnyonga? Alimkaanga kwenye tindikali? How...??

Vyovyote iwavyo, Ben Sanane hayupo, if he's truly dead, it doesn't matter alimuua kwa njia gani. Ukweli ni mmoja tu ALIMUUA...!!

Eleza, fafanua...

Ni historia gani mbaya aliyonayo na huyo aliyeitwa John P. Magufuli...?

Au hujui kuwa Erick Kabendera ni mmojawapo wa victims wa utawala wa kikatili wa Magufuli..?

Hujui kuwa naye aliponeaga chupuchupu kuuwawa na huyo bwana...?

Bora ubaki huamini kuliko kujenga hoja dhaifu na mfu kutetea kutoamini kwako...!!



Magu kutaka kumuua Lissu ni Hear says Tu

Mara Magu mara makonda mara Nani sijui

Do you think magu angetaka kumuua Lissu angemkosa?

Unajua maana ya Rais kutoa Order?

Wangemfata bungeni na wangempa sumu au anything

Kwani lisu alikuwa anaishi mbinguni?

Si pale block D tena majengo yanalindwa na Askari ambao wanatii Amri ya Rais?

Magu angetaka Lissu Afe then Leo asingekuwepo duniani
 
Tatizo jogoo akiiona punje ya almasi ataona ni ujinga kushughulika nayo. Kwa hiyo sioni tatizo kwa mtu asie na uwezo wa kutafakari kusema nimeandika ujinga au Kabendera kaandika ujinga. Tatizo lipo kwenye kiwango chako cha kufikiri.​

Hakuna mtu mwenye akili sawa atajiita Magufuli 05
 
Back
Top Bottom