Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Mimi naelewa sana watu washua wasipoamini hizi habari.

Kwa sababu ni mbaya sana kiasi zinakufanya ujiulize maswali mengi sana.

Haziendani na ushua, kishuashua hata rais akikosea basi anakosea kishua.

Lakini hizi habari ni ut of the pale.

Na hii ndiyo sababu nasema Kibwndera ashitakiwe tusikie habari nzima mahakamani kwenye rules of evidence na perjury tujue uongo uko wapi na ukweli uko wapi.

Kabendera ashitakiwe tu tusikie habari nzima, maana mwenyewe anasema hata alichoandika ni kama robo tu ya mambo yote anayoyajua.

Sasa , wasipomshitaki, wengine tutaona labda ni kwa sababu wanaogopa asitie hiyo 75% nyingine.
Anayemshitaki Ni Nani? Gemu imechenji now juu pamekuwa chini. Tunachofanya Ni kuishi na uzalendo wa mzee wetu na kuyaenzi mazuri yote aliyotuachia.

Vita Ni kubwa juu ya wenye haki. We angalia maofisini utaelewa somo tu mzee Wala haina kutumia nguvu nyingi.

Ujue Tanzania kitambo tu kuna hali ya ubara na upwani lkn iliyojificha Sana Sana japo wenye D mbili tunajua haya. Kuna hali ya u pwani kutokutaka kombe kwenda popote zaidi ya hapo licha ya kuwa uwezo wa kazi Ni mdogo Sana lkn janja janja nyingi. Watu wabara huyumbishwa Kama mifugo vile maana hata wakipata kombe hutumia nguvu nyingi kupambana na chuki ya pwani.

Chukulia mfano wa dogo diamond kutoboa jamaa wanajitahidi hata msosi angalau wapake kinyesi kidogo ili mwende sawa.
Chuki unayoiona Kenya kumfanyia fujo kumbuka imetokea Tanzania hapa hapa lkn jamaa kinafiki baada ya zengwe la shoo kubuma wakajifanya eti wanasimaa na Cha nyumbani na kuanza waponda wakenya. Mambo Ni mengi mkuu kiranga na hii inatokana na upwani kupenda kitonga na uvivu wa kazi huku wakitaka maisha ya kishua, pumbavu sana. Hakuna kushitaki lkn subiri taratibu tu mifugo itasanuka.
 
Jamaa kang’angania eti mumshitaki Kabendera!

Mumshitaki akina nani?

Anarundika watu kwenye tenga moja wanaotilia mashaka hayo madai.

Mashitaka hayafunguliwi tu kiholela na yeyote yule anayejisikia au anayetaka.

Mfungua mashitaka ni lazima awe na standing. Ni lazima aonyeshe injury.

Kwenye hili, wa kwanza wanaoweza kufungua mashitaka [ambayo yatakuwa ni ya madai] ni familia: mke, watoto, labda na ndugu wengine.

Kung’ang’ana tu mshtakini…mshtakini is so disingenuous.

No one can just walk up to the clerk of court and file a lawsuit, just because.

Wanataka watu wasihoji madai ya huyo Kabendera as if he owns the truth.

Some of these people, man! SMH.
It’s unbelievable! Watu wa aina hii kumbe wapo wengi sana duniani. Hata Trump ananufaika nao sana!
 
Mtahangaika sana mno yeye legacy yake Kwa Masikini wa Tanzania ilishajengwa na haifutiki. Kamwe kamwe asilani...[emoji41]. Ingawa mkewe kaachia na ana Nuru usoni kanenepa anapendeza mdomo wangu koma.... Mbona hakunawiri wakati nanihiii ........ Akiwepo au Kuna kaukwl mdomo koma weeee
 
ushahidi uwepo au usiwepo, ukweli ni kwamba nchi hii ilishawahi kutawaliwa na mtu katili sana ambaye anajutia alichokifanya huko kuzimu hata sasaivi mnavyoandika. risasi za Tundu Lisu, ben saanane, na wengine wengi. ni dhahidi. wa sasa naye Mungu amsaidie, kwa sababu kilichotokea kwa sativa na wengine ambao hawajulikani walipo hadi sasa, inasikitisha. Mwogopeni Mungu, na ninyi mlio karibu nao washaurini vyema.
Magufuli alikuwa katili Kwa Wezi , mafisadi, Wala rushwa , wazembe na vibaraka wao.
 
Anayemshitaki Ni Nani? Gemu imechenji now juu pamekuwa chini. Tunachofanya Ni kuishi na uzalendo wa mzee wetu na kuyaenzi mazuri yote aliyotuachia.

Vita Ni kubwa juu ya wenye haki. We angalia maofisini utaelewa somo tu mzee Wala haina kutumia nguvu nyingi.

Ujue Tanzania kitambo tu kuna hali ya ubara na upwani lkn iliyojificha Sana Sana japo wenye D mbili tunajua haya. Kuna hali ya u pwani kutokutaka kombe kwenda popote zaidi ya hapo licha ya kuwa uwezo wa kazi Ni mdogo Sana lkn janja janja nyingi. Watu wabara huyumbishwa Kama mifugo vile maana hata wakipata kombe hutumia nguvu nyingi kupambana na chuki ya pwani.

Chukulia mfano wa dogo diamond kutoboa jamaa wanajitahidi hata msosi angalau wapake kinyesi kidogo ili mwende sawa.
Chuki unayoiona Kenya kumfanyia fujo kumbuka imetokea Tanzania hapa hapa lkn jamaa kinafiki baada ya zengwe la shoo kubuma wakajifanya eti wanasimaa na Cha nyumbani na kuanza waponda wakenya. Mambo Ni mengi mkuu kiranga na hii inatokana na upwani kupenda kitonga na uvivu wa kazi huku wakitaka maisha ya kishua, pumbavu sana. Hakuna kushitaki lkn subiri taratibu tu mifugo itasanuka.
Mshitakini ama sivyo mmekubali aliyoyasema.ni kweli na mnaogopa mkimshitaki atamwaga zaidi hadharani.

Kasema aliyoandika ni 25% tu kuna mengi zaidi hakuandika kwa sababu yako controversial zaidi.

Mtu kaandika Magufuli kambaka binti yake wa miaka 16 na kumuambukiza HIV, akampiga mpaka kumuua.

Hapo mnashindwa vipi kumshitaki ili msafishe jina la mpendwa wenu kama huu ni uongo.

Mwambieni Janet Magufuli amshitaki tuone kama atakubali.
 
Kazi ya kuhakikisha yale amesema niya kwake. sio sisi
Haiingii akili eti ampige risasi wakati watu maalum wa kupiga hiyo risasi anao wamemzunguka labda uniambia alimtumia kama taegget ya kujifunzia
Waoneshe Ben Saanane na Azory Gwanda walipo hawatakusumbua.
 
Upuuzi mtupu! Tangu samia aingie madarakani kuna watu wako bize kumchafua magufuli. Nani asiejua kuna mpasuko ndani ya ccm? Hivi imekaribia uchaguzi wameanza kuibua maswala ya magufuli inawasaidia nini? Mbona mnasema ya hayati na ya aliehai hamyasemi? Magufuli ameshafariki hata mkisema hatakuja kuwajibu. Tuambieni ya samia akajibu tuhuma zake. Taja ya wamasai kufukuzwa, kuuza bandari na mikataba mingine ili samia ajibu maana yupo. Atueleze utekaji na matukio mengine. Unasema ya magufuli ambae hawezi kurudi kukanusha au kukubali kama ameyatenda au anasingiziwa? Nadhan mnayo mengine mabaya ya kusema juu ya magufuli yasemeni sasa wakati ndio huu. Propaganda za kumchafua hayati kama zinawasaidia endeleeni lakin sisi hatuoni mnachofanya.
Unafanya utetezi wa kijinga Samia huwezi mchafua wewe unamfananisha Samia na wachunga ngombe pambaff lione vile
 
Anayeamini huo ujinga wa kabendera ni kichaa na anatakiwa kupelekwa hospitali ya vichaa milembe Dodoma.
Huwa vyote vinaanzaga kwa kukana kama hivi, lakini mwisho huwa unashangaza. Fikia hili;
1. Magufuli ni mzima wa afya na yupo anchapa kazi -- By PM
 
Kazi ya kuhakikisha yale amesema niya kwake. sio sisi
Haiingii akili eti ampige risasi wakati watu maalum wa kupiga hiyo risasi anao wamemzunguka labda uniambia alimtumia kama taegget ya kujifunzia
Hao wengine hawana kinga ya kutoshitakiwa
 
Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na chuki kali na vandetta dhidi ya Ben Saanane zaidi ya kukosolewa uongozi, pale Ben Saanae alipokuwa akisema Magufuli alikuwa na PhD fake ya kubangua korosho - ikumbukwe kuna waziri maarufu mstaafu na professor aliuliza hawa mawaziri wanapata wapi muda wa kufanya PhD wakiwa kazini? Ni wazi wanawalipa supervisors au watu wengine wawafanyie PhD
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastola akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastola mkononi. Kuua mtu kwa bastola ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; huyu ni Magufuli alifiwa mtoto katika mazingira yenye utata na ikasemwa alikufa kwa malaria, tetesi zikisema alimpiga hadi kumuua; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kwamba Magufuli katika uhai wake akiwa shule alikuwa na tatizo la kuvuta bangi, na tunajua ukivuta bangi mara moja inaweza kukaa kichwani kwa miaka 12, na hatujui alivuta bangi mara ngapi
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Kama Kabendera alivyosema, alichoandika kina ushahidi kamili na ameruhusiwa kukiandika baada ya ushahidi uliopo kupitiwa na manguli wa sheria, kama anavyojieleza kuhusu hiki kitabu katika link hii hapa chini

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=4QpdGYaV7b42UJjx

Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Doohh! This is tough
 
FAR-FETCHED.
Exactly why Kabendera should be sued in court.

Kabendera kaandika mambo kwenye kitabu. This is libelious.

Mshitakini jamani, ama sivyo kuachia maneno haya yasambae ni kuyakubali.
 
Unajuaje kama ameshootiwa? Je kama Yuko jela?
Ndio kama nawew una kitu tofauti na alichoandika kabendera ulipaswa kuandika hapa kuwa yupo jela ama yupo kijijini kwao anawinda kwale,,,,mwenzio ameandika kitabu wew unapinga tuu bila hata kusema unachokijua,,,,,na tunasubiri serikali Yako iyajibie haya usipojibu tutajua nikweli
 
Ndio kama nawew una kitu tofauti na alichoandika kabendera ulipaswa kuandika hapa kuwa yupo jela ama yupo kijijini kwao anawinda kwale,,,,mwenzio ameandika kitabu wew unapinga tuu bila hata kusema unachokijua,,,,,na tunasubiri serikali Yako iyajibie haya usipojibu tutajua nikweli

Hakuna mtu anaejua chochote
Kila mtu anaongea Jambo lake

Kama unakumbuka zaman walisema alitupwa Coco beach, Leo kabendera anasema katupwa rufiji sasa which is which
 
Unafanya utetezi wa kijinga Samia huwezi mchafua wewe unamfananisha Samia na wachunga ngombe pambaff lione vile
hahahaaaaa hivi machawa huwa mnalipwa sh ngap? Sishangai pesa zinapofusha na kupotosha ukweli na haki.
 
Nilibadili jina mimi mwenyewe, sio mods
Acha uongo, labda kama walikulazimisha ubadili.
Kunasiku nilikuitajinalako lamwanzo nikapigwa ban, later on wakaona sinahatia kwasababu ulijiita mwenyewe hivyo nikaachwa huru fasta.

R.I.P JPM the hero!.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Acha uongo, labda kama walikulazimisha ubadili.
Kunasiku nilikuitajinalako lamwanzo nikapigwa ban, later on wakaona sinahatia kwasababu ulijiita mwenyewe hivyo nikaachwa huru fasta.

R.I.P JPM the hero!.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ngoja niwasiliane na mods, na na umeanza chokochoko, upigwe ban mpaka baada ya uchaguzi mkuu
 
hahahaaaaa hivi machawa huwa mnalipwa sh ngap? Sishangai pesa zinapofusha na kupotosha ukweli na haki.
Hahah! Hayakosekani majinga ya ndio mzee.
Lkn ukweli maji na mafuta huwezi uchanganya na porojo. Njaa mbaya sana, Kyle kwetu njaa iliyopitiliza tunaita LULIO.
 
Back
Top Bottom