It is not necessary mkuu. Tuko pamojaMkuu tusibishane Sana upo field ipi?
Coz inaonekana huna practical knowledge ya hii issue...
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It is not necessary mkuu. Tuko pamojaMkuu tusibishane Sana upo field ipi?
Coz inaonekana huna practical knowledge ya hii issue...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hili sio la kuniuliza kama haya mambo unayafatilia hata kidogoJe Hizo robot unazozizungumzia zina uwezo wa kujifunza chochote kama binaadamu na zikakiweza kwa ukamilifu?
Mkuu hili sio la kuniuliza kama haya mambo unayafatilia hata kidogo
Nili assume umefanya hata research ndogo kuhusu A.I,I was wrong
Mimi nakujibu chochote unachofanya kiko scripted kwenye ubongo wako subconsciously , tofauti na machine ni kuwa kwa machine kipo transparent kwa yeyote mwenye know how na access ya kufanya hivyo anaona kila kitu.Chochote anachofanya robot kiko scripted kwa namna moja au nyingine
Unaposema atatumia intelligence yake maana yake atatumia knowledge na skills alizo acquire kutoka sehemu flani.Ukichukua watu mia ukawauliza kitunwasichojua kila mtu atatumia intelligence yake kujibu
Ni kama wewe ambavyo siwezi kukuchukua na kukutupa pale Area 51 Nevada na kukupa Stealth Jet fighter ulirushe sababu haujafunzwa juu ya hicho kitu, kifupi haujawa scripted na wajuzi wa hiyo teknolojia.Huwezi kulichukua li sofia ukalifundisha kuendesha baiskeli kama hujali program hivyo
Yes, can't compare a human eye with a camera!Hata yafurukute vp haya madude yatakuwa chini ya binadamu tu... Na sure hayawezi fikia level ya human intelligence... Binadamu hawezi shindana na Mungu... Sisi tumeumbwa na Mungu ila yenyewe yametengenezwa na wanadamu wenzetu.... Camera ipo toka karne ya huko ila you can't compare it with the human eye.... Impossible.
Yes, can't compare a human eye with a camera!
Because with a human eye you can not record an event in Wembley Stadium, UK and watch it instantly in his 'Kibanda umiza' at Tandale, Dar es Salaam.
With a a human eye you can not see things 3KM away,mean while a camera can capture things 8KM away.
After saying that, I totally agree with you one can not compare a human eye with a camera, the later is too superior.
Ha haa ..Umeneza mpaka propaganda za dunia. Naona unarudia tu MUSK anaogopa, MUSK anaogopa. It will never be. Fullstop
Mwanadamu ni mashine ya pekee kabisa kuwai tokea na haitakuja tokea. Intellejence ya mwanadamu ipo juu na robot hawezi ifikia, sasa usichanganye speed perfoming and ability to apply skills in every aspect.
Chukua huyo robot wako mwambie naomba uende mwanza, nyamagana, ukifika chukua bodaboda waambie wakupeleke mwaloni nunua dagaa wa laki mbili, usipite njia ya basi panda treni, shuka kilosa uza wote ndio uje dar[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndio utakua mwanadamu na Robot nani ana akili
Wala hayo maelezo hutahtaji kujifunza kitu kipya, utafikiri tu stand ipo wapi uanze safari, na njiani ukipata tatizo uta apply solution.
Sasa mpeni sofia wenu huyo maelezo hayo ndio utajua who is natural super intellegent and who is altificial. Lwanza note neno Altificial
Dumelang
If your eye could be a camera, it would cost the minimum of $35,000,000!!!!Yes, can't compare a human eye with a camera!
Because with a human eye you can not record an event in Wembley Stadium, UK and watch it instantly in his 'Kibanda umiza' at Tandale, Dar es Salaam.
With a a human eye you can not see things 3KM away,mean while a camera can capture things 8KM away.
After saying that, I totally agree with you one can not compare a human eye with a camera, the later is too superior.
Hahahaha, dah haya banaAanze kwanza na puli asikurupukie ndoa
Halafu atuhakikishie usalama wa mb0 zetu kwanza, unaweza ukapigwa shoti ya umeme halafu ikawa shida baadae
Wakuu uvumbuzi mkubwa kwenye teknolojia umeanza kuleta shida.
Robot wa kwanza duniani kupewa uraia wa nchi, bidada Sophia raia wa Saudia amesema na yeye anataka kuwa na familia yake, kuwa na ajira na marafiki kama binadamu wengine halisi.
Yale waliyo opgopa Elon Musk, Stephen Hawkings na wenzao yameanza kuonekana ishara zake, kuna siku haya maroboti yatakuja kudai uhuru dhidi ya binadamu.
Jambo la kuogofya ni kuwa wao wanafikiri haraka sana na kutunza kumbukumbu kuliko binadamu, watakuwa na uwezo mkubwa wa kuingia ktk mifumo ya silaha au kuharibu mifumo ya kuendesha miundombinu kama ya maji, gesi, kemikali na maabara za kudhibiti virusi hatari.
Yataweza kudhibiti mifumo ya kuongoza mageti, milango, ndege na magari. Hivyo wakitaka kusababisha ajali ni sekunde moja tu.
Tujadili haya maendeleo ya Artificial Intelligence (AI) na athari zake miaka michache ijayo.
Source: RT News
![]()
Sophia, the first robot to be awarded citizenship in the world, has said she not only wants to start a family but also have her own career, in addition to developing human emotions in the future.
In an interview with The Khaleej Times at the recent Knowledge Summit, Sophia shared her thoughts on the future that awaits both human and robot kind. Sophia was built and developed in Hong Kong by Hanson Robotics and her appearance was reportedly modelled on Audrey Hepburn.
"I'd like to think I will be a famous robot, having paved a way to a more harmonious future between robots and humans. I foresee massive and unimaginable change in the future. Either creativity will rain on us, inventing machines spiralling into transcendental super intelligence or civilization collapses,” Sophia said, as cited by The Khaleej Times. “There are only two options and which one will happen is not determined. Which one were you striving for?”
While that may sound ominous, Sophia is already prescient enough to imagine a world where robots can and do develop emotions similar to humans, but perhaps with fewer destructive tendencies. At least, that’s what she’d like us to think, for the time being.
"t will take a long time for robots to develop complex emotions and possibly robots can be built without the more problematic emotions, like rage, jealousy, hatred and so on. It might be possible to make them more ethical than humans. So I think it will be a good partnership, where one brain completes the other - a rational mind with intellectual superpowers and a creative mind with flexible ideas and creativity.”
Sophia is also abundantly aware of the advances in the field of Artificial Intelligence. Judging by her comments, she is as enthused about the development of AI as Elon Musk and Stephen Hawkings are wary.
Aanze kwanza na puli asikurupukie ndoa
Halafu atuhakikishie usalama wa mb0 zetu kwanza, unaweza ukapigwa shoti ya umeme halafu ikawa shida baadae
How do you know that you as a human you are not programmed? Inawezekana na ww binadamu ni prorammed una lots of data in you na unarespond kulingana na namna ulivyokuwa Programmed. Sofia asingekutana na binadamu waliomuunda angejua kuwa yeye ni programmed? Kwani how does Sofia feels? Does she feel pain if you burn her? Will she stop you if you try to hit her? anyways ni changamoto tu tunapeana maana tumekosa kazi sasa tunajaribu kuingilia kazi za MUNGUThe current artificial intelligence (AI) is not even near to where it was intended to be (to the level of human intelligence) instead it is a sort of automated computer programs that makes the system autonomous.
1000's Python or C if..else statements are enough to make any system behave autonomous. If you hear this, take this, answer this...etc.
They are scripted by engineers, hamna kitu hapo, it's programming on chip/processor trick
Ubongo Vs Processor ??
1. Ubongo wetu una kama neurones billion100 , tech ya processor mpaka sasa zinauwezo kubeba hadi billions 100 za transistors
2. Transistor moja ina miguu 3, neurone moja ina point hata 10,000
3. Ubongo Una synapses/info signaling trillion 100, complex ya neurones wiring katika ubongo inasafirisha hizi synapses in short time, itahitaji transistors zaidi ya quadrillions kurusha hizo signal
______
Neurone moja inafanya wiring 10, 000 na kusafiriaha info's trillion 100
Transistor moja inafanya terminal wiring 3, kusafiriaha signal 1 at a time that means roughly more of 3,300 of transistors as one neurone?? and 330 trillions of transistors in a single chip/CPU???
Unataka kusema nini??
Software intelligent maneuvebillity is limited to the processing capability of the hardware,
Ati nini?
View attachment 1324326
Hili sio jengo, ni K computer, project iliyofanywa na IBM 2013, ambayo inaweza kusimulate 1% ya ubongo wa mtu, inaenda na speed ya 1/2400th speed
Artificial intelligence frameworks are just man made backbone softwares that follows certain pattern like Machine learning, ANNs, GAs, Fuzzy logics, there's no intelligence there
Robot Sophia anakua scripted cha kuongea au kujibu endapo akiulizwa kitu...she has alot of hard disk storage with some stored conversation software programs.
Lina mikono na mdomo, si unajua kazi yake?
Hicho ulicho uliza kipo kwa maroboti mengine yaliyo tengenezwa maalum kwa kazi za hicho ulicho uliza.
Sofia ana resistors, transistors, chips, wires, internal servers, etcHow do you know that you as a human you are not programmed? Inawezekana na ww binadamu ni prorammed una lots of data in you na unarespond kulingana na namna ulivyokuwa Programmed. Sofia asingekutana na binadamu waliomuunda angejua kuwa yeye ni programmed? Kwani how does Sofia feels? Does she feel pain if you burn her? Will she stop you if you try to hit her? anyways ni changamoto tu tunapeana maana tumekosa kazi sasa tunajaribu kuingilia kazi za MUNGU
Mkuu yoote uliosema hata binadamu ndo alivyo. Hata wewe unaweza kuwa hacked na virusi au bacteria ukaanza tukana ovyo au kupiga watu, ndo maana tuna hospitali za vichaa. Ubongo ni kazi asili ya uumbaji ndio, but uumbaji ni nn? Utofauti ni kwamba aliyekuumba uwezo wake wa sayansi ni mkubwa sana hivyo utofauti wa kazi yake na yetu pia lazima uwe mkubwa. Ww ni kiumbe uliyeundwa na super inteligency. Tofauti yako na Sofia ndo hiyo basi. Mambo mengine yote mnafanana.Sofia ana resistors, transistors, chips, wires, internal servers, etc
Sofia anaweza kua hacked atukane na akatukana, sijui wewe unaweza kua hacked?
Sophia Vs mtoto anaejifunza vitu???
Sophia is nowhere near a toddler
Mtoto anayenifunza akikuona for first-time and ukimtishia mara ya Kwanza akalia, hata uje umevaa kanzu, kimasai, penzi, kofia, au asikie sauti atalia na ataogopa
Sophia ukamtishia mara ya Kwanza ukamprogram ukija tena alie (say by advanced AI i.e neural networks) ukija umevaa kanzu, umempiga chenga, ukija umevaa miwani umempiga chenga, sijui barakashia etc, the reason atakua ana search image na ku compare hapati, ukija vilevile atakumbuka
Sijui umeniewa hapa, neurones za binadamu ziko spatially oriented, transistors ziko arranged even deepMind (advanced neural networks that implements machine learning) aren't even near to the toddler's brain ability.
Ubongo ni kazi ya asili ya uumbaji.
Sophia is just a robot.
There are advanced automated software, thousands more powerful, mimicking human intelligence than Sophia
The reason Sophia makes media headlines is because it is an automated electromechanical system in human-like skeleton, gets attention everywhere.
Had not it been in human skeleton, it would've not attracted much attention like it's getting now.
I salute you mkuuUmeneza mpaka propaganda za dunia. Naona unarudia tu MUSK anaogopa, MUSK anaogopa. It will never be. Fullstop
Mwanadamu ni mashine ya pekee kabisa kuwai tokea na haitakuja tokea. Intellejence ya mwanadamu ipo juu na robot hawezi ifikia, sasa usichanganye speed perfoming and ability to apply skills in every aspect.
Chukua huyo robot wako mwambie naomba uende mwanza, nyamagana, ukifika chukua bodaboda waambie wakupeleke mwaloni nunua dagaa wa laki mbili, usipite njia ya basi panda treni, shuka kilosa uza wote ndio uje dar[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndio utakua mwanadamu na Robot nani ana akili
Wala hayo maelezo hutahtaji kujifunza kitu kipya, utafikiri tu stand ipo wapi uanze safari, na njiani ukipata tatizo uta apply solution.
Sasa mpeni sofia wenu huyo maelezo hayo ndio utajua who is natural super intellegent and who is altificial. Lwanza note neno Altificial
Dumelang
Nafikiri everybody should read this, suppose to be analysis of what we are discussing hereUmeneza mpaka propaganda za dunia. Naona unarudia tu MUSK anaogopa, MUSK anaogopa. It will never be. Fullstop
Mwanadamu ni mashine ya pekee kabisa kuwai tokea na haitakuja tokea. Intellejence ya mwanadamu ipo juu na robot hawezi ifikia, sasa usichanganye speed perfoming and ability to apply skills in every aspect.
Chukua huyo robot wako mwambie naomba uende mwanza, nyamagana, ukifika chukua bodaboda waambie wakupeleke mwaloni nunua dagaa wa laki mbili, usipite njia ya basi panda treni, shuka kilosa uza wote ndio uje dar[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndio utakua mwanadamu na Robot nani ana akili
Wala hayo maelezo hutahtaji kujifunza kitu kipya, utafikiri tu stand ipo wapi uanze safari, na njiani ukipata tatizo uta apply solution.
Sasa mpeni sofia wenu huyo maelezo hayo ndio utajua who is natural super intellegent and who is altificial. Lwanza note neno Altificial
Dumelang