Madai: Robot Sophia anataka awe na familia yake na ajira kama binadamu

Madai: Robot Sophia anataka awe na familia yake na ajira kama binadamu

Je Hizo robot unazozizungumzia zina uwezo wa kujifunza chochote kama binaadamu na zikakiweza kwa ukamilifu?
Mkuu hili sio la kuniuliza kama haya mambo unayafatilia hata kidogo
Nili assume umefanya hata research ndogo kuhusu A.I,I was wrong
 
Mkuu kwanza tuanze na swali hili

What is intelligence?
Answer: 1.the ability to acquire and apply knowledge and skills.
2. the collection of information of military or political value.

Chochote anachofanya robot kiko scripted kwa namna moja au nyingine
Mimi nakujibu chochote unachofanya kiko scripted kwenye ubongo wako subconsciously , tofauti na machine ni kuwa kwa machine kipo transparent kwa yeyote mwenye know how na access ya kufanya hivyo anaona kila kitu.
Ukichukua watu mia ukawauliza kitunwasichojua kila mtu atatumia intelligence yake kujibu
Unaposema atatumia intelligence yake maana yake atatumia knowledge na skills alizo acquire kutoka sehemu flani.
Wapi?
Kutoka kwa watu wengine, wanyama, au may be toka kwa ancestors wake through DNA(hapa hii itakuwa subconsciously), shuleni, vitabuni, mitandaoni, n.k.
Huwezi kulichukua li sofia ukalifundisha kuendesha baiskeli kama hujali program hivyo
Ni kama wewe ambavyo siwezi kukuchukua na kukutupa pale Area 51 Nevada na kukupa Stealth Jet fighter ulirushe sababu haujafunzwa juu ya hicho kitu, kifupi haujawa scripted na wajuzi wa hiyo teknolojia.
 
Hata yafurukute vp haya madude yatakuwa chini ya binadamu tu... Na sure hayawezi fikia level ya human intelligence... Binadamu hawezi shindana na Mungu... Sisi tumeumbwa na Mungu ila yenyewe yametengenezwa na wanadamu wenzetu.... Camera ipo toka karne ya huko ila you can't compare it with the human eye.... Impossible.
Yes, can't compare a human eye with a camera!
Because with a human eye you can not record an event in Wembley Stadium, UK and watch it instantly in his 'Kibanda umiza' at Tandale, Dar es Salaam.
With a a human eye you can not see things 3KM away,mean while a camera can capture things 8KM away.
After saying that, I totally agree with you one can not compare a human eye with a camera, the later is too superior.
 
Umeneza mpaka propaganda za dunia. Naona unarudia tu MUSK anaogopa, MUSK anaogopa. It will never be. Fullstop

Mwanadamu ni mashine ya pekee kabisa kuwai tokea na haitakuja tokea. Intellejence ya mwanadamu ipo juu na robot hawezi ifikia, sasa usichanganye speed perfoming and ability to apply skills in every aspect.
Chukua huyo robot wako mwambie naomba uende mwanza, nyamagana, ukifika chukua bodaboda waambie wakupeleke mwaloni nunua dagaa wa laki mbili, usipite njia ya basi panda treni, shuka kilosa uza wote ndio uje dar[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndio utakua mwanadamu na Robot nani ana akili

Wala hayo maelezo hutahtaji kujifunza kitu kipya, utafikiri tu stand ipo wapi uanze safari, na njiani ukipata tatizo uta apply solution.

Sasa mpeni sofia wenu huyo maelezo hayo ndio utajua who is natural super intellegent and who is altificial. Lwanza note neno Altificial
Yes, can't compare a human eye with a camera!
Because with a human eye you can not record an event in Wembley Stadium, UK and watch it instantly in his 'Kibanda umiza' at Tandale, Dar es Salaam.
With a a human eye you can not see things 3KM away,mean while a camera can capture things 8KM away.
After saying that, I totally agree with you one can not compare a human eye with a camera, the later is too superior.

Dumelang
 
sophia
hii ni picha yake kwa nyuma...
 
Umeneza mpaka propaganda za dunia. Naona unarudia tu MUSK anaogopa, MUSK anaogopa. It will never be. Fullstop

Mwanadamu ni mashine ya pekee kabisa kuwai tokea na haitakuja tokea. Intellejence ya mwanadamu ipo juu na robot hawezi ifikia, sasa usichanganye speed perfoming and ability to apply skills in every aspect.
Chukua huyo robot wako mwambie naomba uende mwanza, nyamagana, ukifika chukua bodaboda waambie wakupeleke mwaloni nunua dagaa wa laki mbili, usipite njia ya basi panda treni, shuka kilosa uza wote ndio uje dar[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndio utakua mwanadamu na Robot nani ana akili

Wala hayo maelezo hutahtaji kujifunza kitu kipya, utafikiri tu stand ipo wapi uanze safari, na njiani ukipata tatizo uta apply solution.

Sasa mpeni sofia wenu huyo maelezo hayo ndio utajua who is natural super intellegent and who is altificial. Lwanza note neno Altificial

Dumelang
Ha haa ..
Inabidi nicheke tu, mkuu!
Unafikiri kati ya hivyo vyote kipi kinashindikana kwa robot?

Robot lilitumwa kutoka Iran likakwepa vitu likaenda kutungua kisima cha mafuta ndani ya ardhi ya nchi ya kigeni saudia.
Halikulipua shule , hospital au soko au nyumba ya mtu yeyote asiye kusudiwa.
Kila siku wamarekani wanatuma maroboti sayri ya mbali kukusanya sample na taarifa za sayari husika kama kuna viumbe au binadamu anaweza kwenda kuishi huko.
What makes you think that robot can not go to Mwanza to buy sardines?

Kwa taarifa yako huyo Elon Musk amesha tengeneza gari ambayo haiendeshwi na binadamu, inaenda unapoituma bila kukosea na wala haigongi watu au vitu.
Inatafuta njia ambayo haina foleni kubwa,
Inaweza kutafuta shortest path n.k.

Kwanza utambue hata wewe usipoambiwa na mtu stand ya mabasi ya Mwanza ipo wapi , usipopewa ramani ya stand ya Mwanza, usipopewa hivyo vyote kuhusu Soko la Mwaloni hautafika pia kama ambavyo robot likikosa hizo metadata za address ya maeneo husika halitafika.

Wewe ungekuwa umefungiwa ndani tangu uzaliwe hujasikia na kuona toka kwa watu chochote kuhusu dagaa au gari basi usingejuwa gari au bodaboda au dagaa ndio kitu gani.
Nini kimetokea hadi unavijuwa vitu hivyo?
Umejifunza/umefunzwa toka kwa watu.

Kujifunza ndio nini kwa kiingereza?
Jibu ni learning.

AI robots na binadamu wote lazima wajifunze au wafunzwe facts flani zilizotunzwa sehemu kama dataset kisha huzitumia taarifa hizo kufanya tathimini na kufikia maamuzi flani yaani kusema kwamba hapa ndio Mwaloni nimefika, hawa niliopewa ndio dagaa kweli kulingana na taarifa nilizo nazo za dagaa wana size gani, harufu gani, rangi gani n.k.
Wewe utatunza taswira ya dagaa kichwani na AI robot litatunza/kuchukua maelezo na picha ya dagaa toka kwenye storage device zake.

Wewe utatumia macho, pua na sensor zingine mwilini mwako kuchukua hizi taarifa wakati AI robot litatumia camera na sensor zingine kuchukua taarifa.
Tofauti ya wewe na AI robot au tuite machine ni kuwa kwako taarifa hizi zimekuwa scripted na kutunzwa kwenye ubongo, na yeye zipo kwenye hard disk kisha kwenye RAM/ROM.

Maajabu au mfano zaidi upo wapi?
Kumbukumbu hizi mwilini mwako hufanya kazi kwa kutegemea chaji za umeme(electrochemical signals ) zilizo mwilini mwako na kwenye AI au machine nazo vilevile huwa ktk mfumo wa sumaku na chaji (magnetic fields and then in electrical charges)

Sasa nakupa hicho kipande cha maelezo hapo chini mchakato/hatua wa kujifunza unafuata utaratibu ule ule kati ya binadamu au AI machines.

Regardless of whether the learner is a human or machine, the basic learning process is similar. It can be divided into four interrelated components:
  • Data storage utilizes observation, memory, and recall to provide a factual basis for further reasoning.
  • Abstraction involves the translation of stored data into broader representations and concepts.
  • Generalization uses abstracted data to create knowledge and inferences that drive action in new contexts.
  • Evaluation provides a feedback mechanism to measure the utility of learned knowledge and inform potential improvements.
Further reference katafute kwenye kitabu cha Machine learning with R – Second Edition, written by Brett Lantz.
Kama ukikosa kitabu hicho unaweza kusoma kwa kifupi kwenye hii link Is the machine learning process similar to how humans learn?
 
Yes, can't compare a human eye with a camera!
Because with a human eye you can not record an event in Wembley Stadium, UK and watch it instantly in his 'Kibanda umiza' at Tandale, Dar es Salaam.
With a a human eye you can not see things 3KM away,mean while a camera can capture things 8KM away.
After saying that, I totally agree with you one can not compare a human eye with a camera, the later is too superior.
If your eye could be a camera, it would cost the minimum of $35,000,000!!!!
Eyeball-Camera.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua km liSophia lina Papuchi[emoji15]
Wakuu uvumbuzi mkubwa kwenye teknolojia umeanza kuleta shida.
Robot wa kwanza duniani kupewa uraia wa nchi, bidada Sophia raia wa Saudia amesema na yeye anataka kuwa na familia yake, kuwa na ajira na marafiki kama binadamu wengine halisi.

Yale waliyo opgopa Elon Musk, Stephen Hawkings na wenzao yameanza kuonekana ishara zake, kuna siku haya maroboti yatakuja kudai uhuru dhidi ya binadamu.
Jambo la kuogofya ni kuwa wao wanafikiri haraka sana na kutunza kumbukumbu kuliko binadamu, watakuwa na uwezo mkubwa wa kuingia ktk mifumo ya silaha au kuharibu mifumo ya kuendesha miundombinu kama ya maji, gesi, kemikali na maabara za kudhibiti virusi hatari.

Yataweza kudhibiti mifumo ya kuongoza mageti, milango, ndege na magari. Hivyo wakitaka kusababisha ajali ni sekunde moja tu.
Tujadili haya maendeleo ya Artificial Intelligence (AI) na athari zake miaka michache ijayo.
Source: RT News
5a19b561fc7e93555b8b4567.jpg



Sophia, the first robot to be awarded citizenship in the world, has said she not only wants to start a family but also have her own career, in addition to developing human emotions in the future.
In an interview with The Khaleej Times at the recent Knowledge Summit, Sophia shared her thoughts on the future that awaits both human and robot kind. Sophia was built and developed in Hong Kong by Hanson Robotics and her appearance was reportedly modelled on Audrey Hepburn.
"I'd like to think I will be a famous robot, having paved a way to a more harmonious future between robots and humans. I foresee massive and unimaginable change in the future. Either creativity will rain on us, inventing machines spiralling into transcendental super intelligence or civilization collapses,” Sophia said, as cited by The Khaleej Times. “There are only two options and which one will happen is not determined. Which one were you striving for?”

While that may sound ominous, Sophia is already prescient enough to imagine a world where robots can and do develop emotions similar to humans, but perhaps with fewer destructive tendencies. At least, that’s what she’d like us to think, for the time being.

"t will take a long time for robots to develop complex emotions and possibly robots can be built without the more problematic emotions, like rage, jealousy, hatred and so on. It might be possible to make them more ethical than humans. So I think it will be a good partnership, where one brain completes the other - a rational mind with intellectual superpowers and a creative mind with flexible ideas and creativity.”

Sophia is also abundantly aware of the advances in the field of Artificial Intelligence. Judging by her comments, she is as enthused about the development of AI as Elon Musk and Stephen Hawkings are wary.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
The current artificial intelligence (AI) is not even near to where it was intended to be (to the level of human intelligence) instead it is a sort of automated computer programs that makes the system autonomous.

1000's Python or C if..else statements are enough to make any system behave autonomous. If you hear this, take this, answer this...etc.

They are scripted by engineers, hamna kitu hapo, it's programming on chip/processor trick


Ubongo Vs Processor ??

1. Ubongo wetu una kama neurones billion100 , tech ya processor mpaka sasa zinauwezo kubeba hadi billions 100 za transistors
2. Transistor moja ina miguu 3, neurone moja ina point hata 10,000
3. Ubongo Una synapses/info signaling trillion 100, complex ya neurones wiring katika ubongo inasafirisha hizi synapses in short time, itahitaji transistors zaidi ya quadrillions kurusha hizo signal

______
Neurone moja inafanya wiring 10, 000 na kusafiriaha info's trillion 100
Transistor moja inafanya terminal wiring 3, kusafiriaha signal 1 at a time that means roughly more of 3,300 of transistors as one neurone?? and 330 trillions of transistors in a single chip/CPU???


Unataka kusema nini??

Software intelligent maneuvebillity is limited to the processing capability of the hardware,


Ati nini?

View attachment 1324326
Hili sio jengo, ni K computer, project iliyofanywa na IBM 2013, ambayo inaweza kusimulate 1% ya ubongo wa mtu, inaenda na speed ya 1/2400th speed

Artificial intelligence frameworks are just man made backbone softwares that follows certain pattern like Machine learning, ANNs, GAs, Fuzzy logics, there's no intelligence there

Robot Sophia anakua scripted cha kuongea au kujibu endapo akiulizwa kitu...she has alot of hard disk storage with some stored conversation software programs.
How do you know that you as a human you are not programmed? Inawezekana na ww binadamu ni prorammed una lots of data in you na unarespond kulingana na namna ulivyokuwa Programmed. Sofia asingekutana na binadamu waliomuunda angejua kuwa yeye ni programmed? Kwani how does Sofia feels? Does she feel pain if you burn her? Will she stop you if you try to hit her? anyways ni changamoto tu tunapeana maana tumekosa kazi sasa tunajaribu kuingilia kazi za MUNGU
 
How do you know that you as a human you are not programmed? Inawezekana na ww binadamu ni prorammed una lots of data in you na unarespond kulingana na namna ulivyokuwa Programmed. Sofia asingekutana na binadamu waliomuunda angejua kuwa yeye ni programmed? Kwani how does Sofia feels? Does she feel pain if you burn her? Will she stop you if you try to hit her? anyways ni changamoto tu tunapeana maana tumekosa kazi sasa tunajaribu kuingilia kazi za MUNGU
Sofia ana resistors, transistors, chips, wires, internal servers, etc

Sofia anaweza kua hacked atukane na akatukana, sijui wewe unaweza kua hacked?


Sophia Vs mtoto anaejifunza vitu???
Sophia is nowhere near a toddler
Mtoto anayenifunza akikuona for first-time and ukimtishia mara ya Kwanza akalia, hata uje umevaa kanzu, kimasai, penzi, kofia, au asikie sauti atalia na ataogopa

Sophia ukamtishia mara ya Kwanza ukamprogram ukija tena alie (say by advanced AI i.e neural networks) ukija umevaa kanzu, umempiga chenga, ukija umevaa miwani umempiga chenga, sijui barakashia etc, the reason atakua ana search image na ku compare hapati, ukija vilevile atakumbuka

Sijui umeniewa hapa, neurones za binadamu ziko spatially oriented, transistors ziko arranged even deepMind (advanced neural networks that implements machine learning) aren't even near to the toddler's brain ability.

Ubongo ni kazi ya asili ya uumbaji.

Sophia is just a robot.

There are advanced automated software, thousands more powerful, mimicking human intelligence than Sophia

The reason Sophia makes media headlines is because it is an automated electromechanical system in human-like skeleton, gets attention everywhere.

Had not it been in human skeleton, it would've not attracted much attention like it's getting now.
 
Sofia ana resistors, transistors, chips, wires, internal servers, etc

Sofia anaweza kua hacked atukane na akatukana, sijui wewe unaweza kua hacked?


Sophia Vs mtoto anaejifunza vitu???
Sophia is nowhere near a toddler
Mtoto anayenifunza akikuona for first-time and ukimtishia mara ya Kwanza akalia, hata uje umevaa kanzu, kimasai, penzi, kofia, au asikie sauti atalia na ataogopa

Sophia ukamtishia mara ya Kwanza ukamprogram ukija tena alie (say by advanced AI i.e neural networks) ukija umevaa kanzu, umempiga chenga, ukija umevaa miwani umempiga chenga, sijui barakashia etc, the reason atakua ana search image na ku compare hapati, ukija vilevile atakumbuka

Sijui umeniewa hapa, neurones za binadamu ziko spatially oriented, transistors ziko arranged even deepMind (advanced neural networks that implements machine learning) aren't even near to the toddler's brain ability.

Ubongo ni kazi ya asili ya uumbaji.

Sophia is just a robot.

There are advanced automated software, thousands more powerful, mimicking human intelligence than Sophia

The reason Sophia makes media headlines is because it is an automated electromechanical system in human-like skeleton, gets attention everywhere.

Had not it been in human skeleton, it would've not attracted much attention like it's getting now.
Mkuu yoote uliosema hata binadamu ndo alivyo. Hata wewe unaweza kuwa hacked na virusi au bacteria ukaanza tukana ovyo au kupiga watu, ndo maana tuna hospitali za vichaa. Ubongo ni kazi asili ya uumbaji ndio, but uumbaji ni nn? Utofauti ni kwamba aliyekuumba uwezo wake wa sayansi ni mkubwa sana hivyo utofauti wa kazi yake na yetu pia lazima uwe mkubwa. Ww ni kiumbe uliyeundwa na super inteligency. Tofauti yako na Sofia ndo hiyo basi. Mambo mengine yote mnafanana.
 
Umeneza mpaka propaganda za dunia. Naona unarudia tu MUSK anaogopa, MUSK anaogopa. It will never be. Fullstop

Mwanadamu ni mashine ya pekee kabisa kuwai tokea na haitakuja tokea. Intellejence ya mwanadamu ipo juu na robot hawezi ifikia, sasa usichanganye speed perfoming and ability to apply skills in every aspect.
Chukua huyo robot wako mwambie naomba uende mwanza, nyamagana, ukifika chukua bodaboda waambie wakupeleke mwaloni nunua dagaa wa laki mbili, usipite njia ya basi panda treni, shuka kilosa uza wote ndio uje dar[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndio utakua mwanadamu na Robot nani ana akili

Wala hayo maelezo hutahtaji kujifunza kitu kipya, utafikiri tu stand ipo wapi uanze safari, na njiani ukipata tatizo uta apply solution.

Sasa mpeni sofia wenu huyo maelezo hayo ndio utajua who is natural super intellegent and who is altificial. Lwanza note neno Altificial

Dumelang
I salute you mkuu
Umemaliza
 
Umeneza mpaka propaganda za dunia. Naona unarudia tu MUSK anaogopa, MUSK anaogopa. It will never be. Fullstop

Mwanadamu ni mashine ya pekee kabisa kuwai tokea na haitakuja tokea. Intellejence ya mwanadamu ipo juu na robot hawezi ifikia, sasa usichanganye speed perfoming and ability to apply skills in every aspect.
Chukua huyo robot wako mwambie naomba uende mwanza, nyamagana, ukifika chukua bodaboda waambie wakupeleke mwaloni nunua dagaa wa laki mbili, usipite njia ya basi panda treni, shuka kilosa uza wote ndio uje dar[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndio utakua mwanadamu na Robot nani ana akili

Wala hayo maelezo hutahtaji kujifunza kitu kipya, utafikiri tu stand ipo wapi uanze safari, na njiani ukipata tatizo uta apply solution.

Sasa mpeni sofia wenu huyo maelezo hayo ndio utajua who is natural super intellegent and who is altificial. Lwanza note neno Altificial

Dumelang
Nafikiri everybody should read this, suppose to be analysis of what we are discussing here

Bila kumwambia mtu, yeye ataanza kutafuta hapo mahali mpaka afike anako taka

Sophia bila kimprogram mwanza kichwani mwake(on chip) hata ubungo hawezi jua

Wanao mtemu sofia as if ana approach human intelligence ni programming fanboys and tech Movies , they think OneDay they will create a human brain by sitting on the keyboard.

I can say, it is easier for Einstein relativity to break laws and go back in time than creating the most complex, yet chaotic human Intelligent organ -brain, let alone Central Nervous System

I don't know, kama watu wanakua fooled kweli na hii scripted robot, mature AI programmers wanaweza kua hata wanacheka jinsi watu wanavyoshangaa ati ni intelligent like us..

Sophia ni Eliza program iliyoko kwene device

Tofauti ya Sophia na laptop ni kwamba program ni ileile Ila skeleton ndo linawachanganya watu
 
Back
Top Bottom