Bweni ukizubaa utakosa chakula kila siku. Kimsingi wanapata ila hawatosheki kutokana na wao kuhitaji zaidi. Nilipo kwa sasa Huwa tunalisha watu 700 kwa siku,tatizo huwa kwenye wali nyama ambapo walaji Huwa hawatoshekiKwahio hawakosi bali wanapata / wanataka wapate zaidi au wengine wanaiba ili wengine wasipate...