kama ni wale wa kibiti, ulitegemea wafanyweje endapo wamekimbilia kujificha msikitini? wawaache wamalize kuswali wakati mule wameingia sio kuswali bali kujificha tu? nilitegemea zitto atawapa pongezi anaowatuhumu kwa kutupunguzia watu wanaoichafua dini.