bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Kwa kuongezea tu msikiti wa Kizimkazi ulijengwa mwaka 1100 AD.Kakudanganya nani uislam umekuja afrika 1800s!?..acha kupotosha watoto,ibn batuta kapita mwambao wa pwani ya afrika mashariki mwaka 1300 na kakuta uislam upo kilwa