babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Serikalini yenu imetangaza kuwa ametokea Tz!Kazi ya Serikali yenu na viombo vya dola ni kuchunguza alitokea Tz pande gani? Kutengamana na nani na wapi? Serikali ya Tz haina jibu?
Wengi Sana wameambukizwa na wanatafutwa na kupatikana ndio maana idadi inazidi kuongezeka.Hili jambo, waziri wa Afya alilitolea Maelezo vizuri sana, ila kwasababu kuna watu wajinga duniani, lazima maneno kama haya yataendelea kuwepo.
Huyu jamaa alitoka Dubai 24/3, wakati huo serikali ilikua imesema ni wasafiri wenye kutoka nchi zilizokua na maambukizi mengi zaidi, ndio lazima wakifika nchini wawekwe karantini ya siku 14, Dubai haikuwepo katika kundi la nchi zilizokua na wagonjwa wengi waliokua na maambukizi, ndio sababu hakuwekwa karantini.
Tabia yenu hii ya kujaribu kulingabisha na Tanzania nchi ambayo hadi sasa inafanya vizuri sana katika kuzuia maambukizi, ndio sababu tunawacheka.
Inawezekana vipi mgonjwa yupo Hospitalini, mikononi mwa madaktari, lakini wanashindwa kujua kama ana maambukizi ya corona, wagonjwa wangapi na madaktari wangapi atakua amewaambukiza hapo Hospitalini, je Hospitali za Kenya ni mahali salama au ndio chanzo cha maambukizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikotokea ni kazi ya Serikali yenu kujua wapi na wapi kapitia ama unataka kazi ya Vyombo vya dola ifanywe na Serikali ya Kenya. Uzembe mtawacha.Serikalini yenu imetangaza kuwa ametokea Tz!
Tz sehemu gani na ni lini?
Mlifunga mipaka yote mkaja humu kuruka ruka kushangilia,
Haya sasa huyo alipitia mpaka gani juu mlitangaza kufunga mipaka?
Mnashangilia kupima Pima badala ya kuwekeza nguvu kwenye kuzuia maambukizi hiyo iga iga yenu ndio huwa inawaponza,
Mtaishia kusema tunachekelea matatizo yenu.
Sasa mbona huo uzembe unaitafuna Kenya badala ya Tz?Alikotokea ni kazi ya Serikali yenu kujua wapi na wapi kapitia ama unataka kazi ya Vyombo vya dola ifanywe na Serikali ya Kenya. Uzembe mtawacha.
That guy is a jobless retard...kazi ni kuanzisha mada za corona left ,right center .you should be telling that to yourselves.
who has been pushing these Corona threads??
Ndio sababu hadi sasaHawajapatikana wote walioko hapa Kenya.
Yule wa Mwanza kwa siku tatu alikuwa Yuko safarini akiwapumulia abiria ndani ya daladala, je waliotangamana naye wamepatikana?
Kuna Yule alitoroka kwarantin na hajapatikana kwa Sasa Yuko wapi?
Wakenya wapo wanajisifia tu wamenunua silaha za kivita kuliko Tanzania wanasahau vita ya sasaiv haiitaj vifaru
ni kama kuna mkenya alikulia bibiThat guy is a jobless retard...kazi ni kuanzisha mada za corona left ,right center .
HApa tunaongelea Kenya na sio Italy.Elimu duni? Hivi umewahi kushihudia kashikashi za kitengo cha dharura mahosipitalini? Italy nchi ya ulimwengu wa kwanza imepoteza madaktari 101 sababi ya hili gonjwa tutegemee nini nchi za ulimwengu wa tatu? Muda utajibu.
Waliotangamana na Yule wa Mwanza na huyu alikuja Kenya wako wapi? Wamepatikana? Wamewekwa karantin? Ni wangapi? Ni wa pande/mikoa gani Tz? Without such info from your Govt then we can comfortably conclude that not much is being shared.Ndio sababu hadi sasa
Kenya 184, 7deaths
Tanzania. 27, 1deaths
Tunasubiri mawaziri wenu "mapoyoyo", wasiojua nini wanataka kukipata, watutangazie tena leo idadi ya maambukizi mapya, lazima ifike 190 Leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha double speakHApa tunaongelea Kenya na sio Italy.
Elimu duni ya Kenya hasa kwenye Afya
SO if Tz ain't doing well Kenya will do the opposite?
Uzembe upi Kama Huyo jamaa alitokea Tz na huo ugonjwa? Mbona hajawapata waliotangamana naye?Sasa mbona huo uzembe unaitafuna Kenya badala ya Tz?
Mlifunga mipaka halafu waja humu kupiga piga kelele kuwa wametokea Tz!
Wale waliotoka Nairobi hadi Mandera ndani ya bus, wakachanganyana na watu, na yule aliyetoroka toka Mombasa hadi Nakuru kwa bus, je wote waliosafiri nao na Hoteli walizotumia wote mumewapata?, bila hiyo taarifa hakuna kitu serikali yenu inafanya.Waliotangamana na Yule wa Mwanza na huyu alikuja Kenya wako wapi? Wamepatikana? Wamewekwa karantin? Ni wangapi? Ni wa pande/mikoa gani Tz? Without such info from your Govt then we can comfortably conclude that not much is being shared.
Uzembe wa madaktari wa Kenya kushindwa kugundua wagonjwa wenye maambukizi, badala yake wanawachanganya na wagonjwa wa kawaida, wacha kugeuza na kukimbia hili la uzembe na elimu ndogo ya madaktari wenu.Uzembe upi Kama Huyo jamaa alitokea Tz na huo ugonjwa? Mbona hajawapata waliotangamana naye?
Mipaka ilifungwa lakini Mkenya anayerudi nyumbani anafunguliwa na kuingia karantin hapo hapo na kupimwa. Ama babayao unataka kutuaminisha Mkenya Huyo aliruka kwa mabawa Hadi mpakani Kenya?
Wengi wamepatikana na kuwekwa karantin.Wale waliotoka Nairobi hadi Mandera ndani ya bus, wakachanganyana na watu, na yule aliyetoroka toka Mombasa hadi Nakuru kwa bus, je wote waliosafiri nao na Hoteli walizotumia wote mumewapata?, bila hiyo taarifa hakuna kitu serikali yenu inafanya.
KE 184, 7deaths
TZ. 27, 1death
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitokea lini Tz?Uzembe upi Kama Huyo jamaa alitokea Tz na huo ugonjwa? Mbona hajawapata waliotangamana naye?
Mipaka ilifungwa lakini Mkenya anayerudi nyumbani anafunguliwa na kuingia karantin hapo hapo na kupimwa. Ama babayao unataka kutuaminisha Mkenya Huyo aliruka kwa mabawa Hadi mpakani Kenya?
Wetu ni wazembe sikatai. Swali langu na unalikwepa Sana ni hili;Uzembe wa madaktari wa Kenya kushindwa kugundua wagonjwa wenye maambukizi, badala yake wanawachanganya na wagonjwa wa kawaida, wacha kugeuza na kukimbia hili la uzembe na elimu ndogo ya madaktari wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Yule wa Mwanza siku tatu akisafiri?Alitokea lini Tz?
Ugonjwa aupate Kenya halafu mje kutuambia nyee nyee hapa.